Wasiwasi ndo akili na lisemwalo lipo kama halipo laja, ukiona Moshi ujue na moto upo, dalili ya mvua mawingu.Ina mashiko ila zinabaki kuwa porojo kwa sababu hakuna aliye na uthibitisho kwamba hayo mambo yanafanyika. Zimebaki kauli za uswahili kama hiyo nikulishe halafu uniletee jeuri
Mshinde Njaa tuπ Kuna shabiki huku Leo kama mngefungwa naona tungesafirishaπ€£ kama sio ICUDah kwa hiyo hamtaki tushindeππ
Kwa sababu umeachana na DerbyUkiachana na derby ambayo Ina mambo mengi ndani yake, hoja inamashikoπ€ mbona yanga haifungwi na timu inazozidhamini!?, Ila inafungwa na timu ambazo hawajazidhamini!?.
Bado ina kitu ndiyo maana mlikusanyana kuishangiliaHuu ndio msimamo wa ligi tangu jana
Namungo ambayo imeleta matumaini kwa wadau ndio hiyo hapo nyanda za chini kusini ikiwa na alama 9.
Aiseee kweli faraja inatafutwa kwa namna nyingi sana.
View attachment 3166000
πππππM
Mshinde Njaa tuπ Kuna shabiki huku Leo kama mngefungwa naona tungesafirishaπ€£ kama sio ICU
Noma sanaNdo linalotrend kwa sasa
Binafsi sijutii Gamondi kutimuliwa. Alikuwa ni kocha mzuri. Hilo halina ubishi. Ila kwa kushindwa kwake kusimamia utimamu wa baadhi ya wachezaji pamoja na nidhamu ya timu, kulimuondolea sifa ya kuwa kocha bora.
Soon utaungana na wenzako kuimba wimbo mmojaBinafsi sijutii Gamondi kutimuliwa. Alikuwa ni kocha mzuri. Hilo halina ubishi. Ila kwa kushindwa kwake kusimamia utimamu wa baadhi ya wachezaji pamoja na nidhamu ya timu, kulimuondolea sifa ya kuwa kocha bora.
Kama huyu kocha aliyempokea Gamondi atakuwa na uwezo mdogo, sioni kama itakuwa ni dhambi kuungana na hao wenzangu. Ila ninaunga mkono kutimuliwa kwake.Soon utaungana na wenzako kuimba wimbo mmoja
Mechi ya leo mpo kimya hakuna aliye doubt uwezo wa kocha.Kama huyu kocha aliyempokea Gamondi atakuwa na uwezo mdogo, sioni kama itakuwa ni dhambi kuungana na hao wenzangu. Ila ninaunga mkono kutimuliwa kwake.
We mdada unazinguagaπππππ.Nimixx by ass kwanza πΉ
Kwahiyo mdhamini ndiye anayeendeshea timu!?Simple logic virce versa.. kwamba huwezi kumlisha mtu halafu akuletee jeuri. Yaani boss wako umfedheheshe πutakula wapi!??
Sisi tupo na wachezaji wetu, ila tunajua kuna wenzetu wapo serious na matumaini na Aziz Ki na kocha waoMechi ya leo mpo kimya hakuna aliye doubt uwezo wa kocha.
Zaidi nimeona wenzako wakitoa kongole kwa Musonda na Duke Abuya.
Kocha wamemsahau. Watakuja kumtaja siku mkipoteza game.
Na hata wale waliokuwa wanamuunga mkono kwenye mechi ya juzi mliyopoteza. Walimtetea kuwa ni mgeni hawajui wachezaji.
Ila leo mmeshinda sijui tayari wameridhika kuwa Kocha tayari kawajua wachezaji???
Yanga akishinda mechi mbili zijazo GSM kazi anayo, utasikia ufadhili wa timu nane na bahasha.Afadhali kelele za Sindano na Bahasha zirudi tena. Ndio faraja pekee ya Mbumbumbu.
Kwani GSM anaifadhili Simba?Ukiachana na derby ambayo Ina mambo mengi ndani yake, hoja inamashikoπ€ mbona yanga haifungwi na timu inazozidhamini!?, Ila inafungwa na timu ambazo hawajazidhamini!?.
Yaani nikulishe na Bado uniletee jeuriππ lazima uwe mpole.
Hata hivyo Leo ilikuwa wastaafu kwa wastaafu
akikujibu hili nistue mkuuKwani GSM anaifadhili Simba?
ππππππππ wataelewa taratibu min -me haya wale wa Ban kiko wapi? Ubao unasoma ngapi? π€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈHii game nilishamaliza kwa sababu za Bantu Lady π€£π€£π€£π€£π€£