Heavy Heritage
Senior Member
- Feb 18, 2025
- 130
- 80
🤣🤣🤣Hata kama huyu kocha kahongwa, this is too much 🚮🚮🚮
Huyu na yule wa kushika kadi mikono miwili hawaombani chumvi. 😂😂😂Refa 😀😃😃😃😃😃
Acha kiherehere na umaarufu hauji kwa kuvamia nyuzi za watu.Pata Pata Pata Utajiri
Kama utani wa Jadi ni mzuri ngoja nikutanie "wewe ni mvamizi wa viwanja"😂😂😂
Watoto wa kishua naomba kazi ya "Uhouse BOY"
Ndiyo maana ya #UbayaUbwela.Yaani sisi bila penalti hatutoboi. 🤣🤣
Uyo Refa Wa Simba mkuuUyu refa ndo alimaliza mechi simba wakati inashambuliwa mechi ya Cost