Cetshwayo Kampande
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 1,295
- 2,973
Anazingua uyu boyaAcha kiherehere na umaarufu hauji kwa kuvamia nyuzi za watu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anazingua uyu boyaAcha kiherehere na umaarufu hauji kwa kuvamia nyuzi za watu.
Ipi?Mechi ngumu
Nadhani mchezaji aliongea shit.penati ni halali ila kadi nyekundu sijaielewa!
Haijalishi kikubwa #UbayaUbwela ipo hewani.Uyu refa ndo alimaliza mechi simba wakati inashambuliwa mechi ya Cost
Ni refa mkuu sio kochaHata kama huyu kocha kahongwa, this is too much 🚮🚮🚮
Hii.Ipi?
Wote n mashabiki wa SimbaHuyu na yule wa kushika kadi mikono miwili hawaombani chumvi. 😂😂😂
Mkuu Ngoja niwaite hawa marafiki zangu wachambuzi.Kadi nyekundu aliyeona tatizo nini aniambie
Aisee hata mie naona.Ndiyo maana ya #UbayaUbwela.
This is too much! Stop it please! 😡Kama utani wa Jadi ni mzuri ngoja nikutanie "wewe ni mvamizi wa viwanja"😂😂😂
Sawa kabisa na TAKUKURU na Tume ya Ushindani zitimize majukumu yao, haiwezekani mtu mmoja kumiliki timu saba zinazoshiriki ligi moja.VAR iwe introduced ASAP, hii league itaharibika kwa mambo ya ajab