FT: Namungo FC 0-3 Simba SC | NBC PL | 19.02.2025

FT: Namungo FC 0-3 Simba SC | NBC PL | 19.02.2025

Wapenda michezo mtakao angalia kipindi cha pili huu upuuzi mna moyo. Huyu mwamuzi ana bahati wachezaji wa Namungo ni wapole. Huyu ni wa kung'oa meno kabisa.
 
Nadhani mchezaji aliongea shit.
Kupewa red card sio kitu cha kawaida tena straight red card
Tatizo watu tunalaumu tu. Wengi walitarajia kuona labda mchezaji kafanya faulo ya kuonekana na kila mtu hadi walio nje ya uwanja , wanasahau kuwa mchezaji anaweza kutoa lugha ya matusi ambayo walioko nje au mbali na eneo la tukio sio rahisi kusikia hiyo lugha ya matusi.
 
Acha ushoga wewe au unatafuta mume?
Ushoga mbaya kama "uvamizi wa viwanja"

Pata Pata Pata Utajiri


Kama utani wa Jadi ni mzuri ngoja nikutanie "wewe ni mvamizi wa viwanja"😂😂😂


Watoto wa kishua naomba kazi ya "Uhouse BOY"


Mtaa wa "imsi=640021177148086&uid=2dc0f0cd0dcd98ea00ea2efe528ad43d&t=2&tl=ki2ni" unakutangazia


Fully varnished and finished Apartment kwa TSH 30,000 kwa mwezi
 
Acha ushoga wewe au unatafuta mume?
Ushoga mbaya kama "Kulawitiwa" au unamtafuta mkatili😂😂😂😂

Pata Pata Pata Utajiri


Kama utani wa Jadi ni mzuri ngoja nikutanie "wewe ni mvamizi wa viwanja"😂😂😂


Watoto wa kishua naomba kazi ya "Uhouse BOY"


Mtaa wa "imsi=640021177148086&uid=2dc0f0cd0dcd98ea00ea2efe528ad43d&t=2&tl=ki2ni" unakutangazia


Fully varnished and finished Apartment kwa TSH 30,000 kwa mwezi
 
Tupo live😂🙌🏿
1000026980.png
 
Pata Pata Pata Utajiri


Kama utani wa Jadi ni mzuri ngoja nikutanie "wewe ni mvamizi wa viwanja"😂😂😂


Watoto wa kishua naomba kazi ya "Uhouse BOY"


Mtaa wa "imsi=640021177148086&uid=2dc0f0cd0dcd98ea00ea2efe528ad43d&t=2&tl=ki2ni" unakutangazia


Fully varnished and finished Apartment kwa TSH 30,000 kwa mwezi
 
Kamera za Azam zimetafuta sababu ya kadi nyekundu wamekosa, wasaidizi wa refa wametafuta kosa wamekosa, mashabiki wenyewe hawajui kilichotokea. Yaani hata VAR ikipewa mwaka mzima kutafuta kosa bado itashindwa. 😂😂😃😀
Uhuni hauruhusiwi katika michezo. Ateba alireact kabla hata refa hajatoa kadi na baada ya kadi aliendelea kumuonyesha kidole aliyepewa kadi. Mengine unaweza kujiongeza mwenyewe hakuna haja ya kubishana.

Hivi hawa Namungo pia si mlisema ni tawi la Simba, inakuwaje tena?
 
Wapenda michezo mtakao angalia kipindi cha pili huu upuuzi mna moyo. Huyu mwamuzi ana bahati wachezaji wa Namungo ni wapole. Huyu ni wa kung'oa meno kabisa.
Sijui kwanini hawajasusa tupate point 3.
 
Dk ya 50 mpaka 70 Simba atakuwa na magoli 3 hio n amri subirini natokeoo
 
Uhuni hauruhusiwi katika michezo. Ateba alireact kabla hata refa hajatoa kadi na baada ya kadi aliendelea kumuonyesha kidole aliyepewa kadi
Mengine unaweza kujiongeza mwenyewe.
Juma nyosoo karudi ama
 
Back
Top Bottom