Onyango majeruhi,Morisson yupo benchi.Natamani nijue kikosi cha leo cha Simba Sc. Nisaidieni...Onyango yupo au bado majeruhi? Morison je?
Simba wasipobadilika leo matokeo hamnaHakuna matokeo ya simba kufungwa kwenye mechi hii
Sawa mkuu na Bocco nae yupo bench?Onyango majeruhi,Morisson yupo benchi.
Leo kocha kaamua kuwapanga wote wawili, ili kukwepa lawama ili isiwe baadaye matokeo mabaya yakipatikana tuwanze kulalamika "aah angeanza mugalu", "angeanza kagere"Simba wasipobadilika leo matokeo hamna
Mkuu, habari za mafichoni?Mpapaso square kwa Mikia
Mkuu wangu, mambo yamekua mambo ili nikiri kwa hili nmefanya uzembe.Mkuu Carlos The Jackal umeniangusha sana, kama uzi unatoka saa 9 mchana hasa viwanja vya mikoani ambavyo havina taa, ambapo mara nyingi game huchezwa saa 10 jioni, kuna haja ya kuuliza saa ngapi game?
Acha hizo mkuuTatu bila tena dozi inaendelea