Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tushapigwa mojaTatu bila tena dozi inaendelea
[emoji3064][emoji3064][emoji3064]basi tufanye 4-1Tushapigwa moja
Ndio zangu sina wa kumpaAcha hizo mkuu
[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]Nawatakia Namungo fc ushindi wowote ule kwenye mechi ya leo.
Uko sahihi mwamba leo yupo vizuri ..Hii attempt ya mugalu inaonesha jinsi gani kaingia kufuta lawama.
Anaonesha kiwango kizuri nimependa
We sio wa kukupa dhamana, ulituongopea kipindi kile tukafungwa na yangaNamungo nakuapia watajutia hicho kigoli kimoja.. Nakwambia kweli watajutia kujitia kimbelembele
[emoji23][emoji23]Namungo nakuapia watajutia hicho kigoli kimoja.. Nakwambia kweli watajutia kujitia kimbelembele
Hukuona ile mechi iliyofuata utabiri wangu ulitimia?We sio wa kukupa dhamana, ulituongopea kipindi kile tukafungwa na yanga
Unawatishia nyau siyo!! 😁😁😁 Leo kipolo lazima kichache.Namungo nakuapia watajutia hicho kigoli kimoja.. Nakwambia kweli watajutia kujitia kimbelembele
Tubetie tunguliUnawatishia nyau siyo!! [emoji16][emoji16][emoji16] Leo kipolo lazima kichache.
Kweli MkuuNamungo nakuapia watajutia hicho kigoli kimoja.. Nakwambia kweli watajutia kujitia kimbelembele
Utabiri unapiga kona...mbona sijawahi onaHukuona ile mechi iliyofuata utabiri wangu ulitimia?