MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 1,970
- 4,037
Chumaaaaa⚽️⚽️⚽️ Kijana wa Muhasibu Ki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kina GENTAMYCINEWakamaria be like " for the sake of mikeka, yanga ishinde tu"
Bahati nzuri Namungo wapo kwao [emoji1787]Itakuwa wamewapulizia madawa ya usingizi wachezaji wa NAMUNGO
Badae tunahamia kuleChumaaaaa[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️ Kijana wa Muhasibu Ki
Weeeee apiaNamungo hamjawahi kuniangusha
Bora wewe unajua Mpira kolo wenzio wakasingizia hujuma [emoji28][emoji23]Namungo wanafanya makosa ya kiufundi baada ya kufungwa goli wakaamua kufunguka na kupishana na Yanga
Juzi ilikuwa zamu ya mtoto wa manulaMtoto wa kipa kalipiwa ada tayari
Akikujibu nitag 😂😂😁Weeeee apia
Naunga mkono hoja 🤣Juzi ilikuwa zamu ya mtoto wa manula
Pamoja nami kuwa ni thimba ila tuseme ukweliYanga hii itatawala soka la bongo kama Bayern Munich Kule ujerumani
Wakati ingekua thread nyingine angereply "we apia" 😁Akikujibu nitag 😂😂😁