FT| NBC | Namungo 1-1 Simba Sc | Majaliwa Stadium | Mei 3, 2023

FT| NBC | Namungo 1-1 Simba Sc | Majaliwa Stadium | Mei 3, 2023

Naomba kutangaza kwamba kwa namna mpira ulivyochezwa huko ugenini Ruangwa na kwa namna wachezaji wetu walivyopambana na kujitoa kiume, Kwakweli sina ninachowadai, Wamepambana sana.
Ninawasihi mashabiki wenzangu twendeni Airport tukawapokee mashujaa wetu hawa, Kwani wamepambana kiume yaani kufa kupona.

Simba Guvu Moya
Wamesare kiume sanaaaa!
Azam TV live coverage inawahusu,why not?.
 
Kinacho wapa Yanga matokeo ni kujituma muda wote.

Baada ya kukosa Kombe a ligi kwa miaka minne, Yanga wamesajiri kwa umakini na wanajituma kila mechi na kupata matokeo.
Kwa hili nawapa pongezi na wanaenda kuchukua kombe la Shirikisho.
Simba wanacheza kwa kujiamini sana na hawajitumi.
Kuna wachezaji Simba wanakula mshahala wa bure kabisa na wakiingia kucheza hawana maajabu.

Kamati ya usajiri ya Simba Mungu anaiona.
Kwa hiyo unataka kutuambia ukipewa namba pale Simba utajituma mpaka MO akuongezee mshahara siyo?
 
Hii timu ishazoea kucheza na giants wa football Africa akina Al Ahaly, RS Bekane, Wydad, Mamelody Sundowns, Orlando Pirates, ES Tunis, sasa hawa Namungo ukiwafunga utajulikana wapi.
 
Hahahaaa! Lol.

Haya Mtani ikitokea mukafuzu tutakutana. 🤣🤣
Kwa hilo la kufuzu mtani sina shaka. Safar hii namuona Nabi le profesee akilaumu hadi watoto wa kuokota mpira. Atanena kwa kizaramo
😂😅😃
 
Kwa hilo la kufuzu mtani sina shaka. Safar hii namuona Nabi le profesee akilaumu hadi watoto wa kuokota mpira. Atanena kwa kizaramo
😂😅😃
Hahahaa! Lol.

Hivi Final yenyewe ndo itachezwa Mkoa gani Mtani?
 
Tunaomba mechi kati ya hii Rotation ya wafa kiume na Yanga Veterans uone Yanga isivo na mchezo
 
Back
Top Bottom