FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 8,600
- 10,760
Dhambi haipimwi kwa dhambi nyenzake bossNi kweli haikuwa penati lakini tukizungumzia tukio hili la kubebwa tusisahau pia yale magoli halali hasa ya mayele yaliyokataliwa huko nyuma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dhambi haipimwi kwa dhambi nyenzake bossNi kweli haikuwa penati lakini tukizungumzia tukio hili la kubebwa tusisahau pia yale magoli halali hasa ya mayele yaliyokataliwa huko nyuma
Mlishinda kule mbeya dizaini hii, na hayakuwapa unbeaten, tulieni, yaani nyie tu ndo mfaidike na makosa ya refaMakosa haya haya ndio yaliyotufikisha mpaka kwenye hii unbeaten
Goli la penalties linakuwaje na utata? tangu lini?VAR hapo ndiyo itakuwa muhimu Sasa...goli utata mtupu
Ask her
Ligi inaharibiwa na marefa wa utopolo
Hii sasa sifa.Huu ni mchezo wa namba 45 wa Ligi Kuu ya NBC 2022/2023 bila Yanga Kupoteza Mechi.
Utata ni jinsi penati ilivyopatikana. Unaangalia mpira au unakiredio cha mbao unasikilizia halafu unakuja kubisha tu humuGoli la penalties linakuwaje na utata? tangu lini?
Inaonyesha wewe🦁MAPUMZIKO
45' Morrison anaipatia Yanga bao kwa penati
GOOOOOOOOOOOOOOOO!!
Picha za marudio zinaonesha mpira ulimgonga mkononi beki wa Geita akiwa nje ya eneo 18
43' Yanga wanapata penati
40' Timu zinashambuliana kwa zamu
29' Mchezo umetawaliwa na faulo za hapa na pale
27' Yanga wanafanya shambulizi lakini hakuna mtu wa kumalizia mpira uliopita mbele ya lango
21' Kasi imepungua kwa kiasi fulani
19’ Saido anachezewa faulo, inakuwa adhabu kuelekea lango la Yanga
10' Mchezo unakasi lakini Yanga ndio wanamiliki mpira muda mwingi
8' Shambulizi lingine kali langoni mwa Geita
6' Yanga wanafanya shambulizi kali, Fei Toto anapiga shuti linapanguliwa na kipa
4' Mchezo umeanza kwa kasi ndogo
Mchezo umeanza hapa kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza.
=========
Karibuni katika mtanange huu wa kukata na shoka baina ya Geita Gold na Yanga Sports Club utakaochezwa saa10 jioni Estadio De CCM Kirumba Jijini Mwanza.
Huu ni mchezo wa namba 45 wa Ligi Kuu ya NBC 2022/2023 bila Yanga Kupoteza Mechi.
Geita Gold akiwa ni mwenyeji wa mchezo wa leo dhidi ya Yanga Sports Club.
.
Karibuni Wakuu.
Bahasha haijawahi kumwacha mtu salama mkuuWaamuzi wetu sijui upepo hawana wakuendana na kasi ya mpira.
Iyo ilikua mechi ya Simba na Prison goli Alifunga Mkude.Yanga kubebwa ni kawaida yao.
Kuna mechi mpira ulitoka nje, wakaurudisha na kufunga goli na Refa akalikubali.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Maamuzi gani haya, mtu ameshika nje ya mstari wa box ila inatengwa penati
Aisee!!Iyo ilikua mechi ya Simba na Prison goli Alifunga Mkude.
Maana yangu ni kupinga hilo la bahasha. Yanga anapokataliwa nani anakuwa katoa bahashaDhambi haipimwi kwa dhambi nyenzake boss
Mazingira ya upatikanaji wa penati yana utata..Goli la penalties linakuwaje na utata? tangu lini?
Kona ndio iliyozaa goal na sio huo mpira unaousemea weweYanga kubebwa ni kawaida yao.
Kuna mechi mpira ulitoka nje, wakaurudisha na kufunga goli na Refa akalikubali.