data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,858
- 23,768
Watajijua bhanaa.. sio kosa letuNibebee nibebeeee nibebeeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watajijua bhanaa.. sio kosa letuNibebee nibebeeee nibebeeee
TuliaMaumivu yakizido kunywa maji mengiView attachment 2401249
Ni kama Lile alilofunga Mkude dhidi Prison wakati mpira umetoka.Makosa haya haya ndio yaliyotufikisha mpaka kwenye hii unbeaten
Huo n uongo unbeaten hadi 2030Kwa staili hii ya mbeleko, unbeaten itaendelea hadi 2025
[emoji3]Kwa staili hii ya mbeleko, unbeaten itaendelea hadi 2025
Ni ajabu Sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28]Wamefungwa Geita wamenuna Makolo [emoji15][emoji119][emoji1787]
Kabisa.. refa hata aibu hana aseme akapate ushauri kwa linesmanMliokuwa mnatafuta mchawi kwanini Yanha haifanyi vizuri kimataifa nadhani majibu mmeyapata
Da umeongea kwa uchungu Sana [emoji16][emoji16][emoji16]Kwa staili hii ya mbeleko, unbeaten itaendelea hadi 2025
Mazingira ya penati umeyaona lakini au unaongea tu kwasababu ya ushabiki?Sasa hao kenge hawataki tupate penati. GSM anahusikaje!!!
Tuliaa
Kachezeshe weweKabisa.. refa hata aibu hana aseme akapate ushauri kwa linesman
Maamuzi gani haya, mtu ameshika nje ya mstari wa box ila inatengwa penati
Kwani hayo mazingira mbona yanaruhusu kabisa penati au Mimi ndo sioni [emoji28][emoji1787]Mazingira ya penati umeyaona lakini au unaongea tu kwasababu ya ushabiki?
Au Feisal vs Azam wakati Joyce alipopiga mpira ukiwa umetoka.Ni kama Lile alilofunga Mkude dhidi Prison wakati mpira umetoka.