FT: NBC Premier League: Ihefu SC 2-1 Yanga SC

FT: NBC Premier League: Ihefu SC 2-1 Yanga SC

Unbeaten kumbe ilikua inakuuma 😀,historia imewekwa na tulijua tu ipo siku tutafungwa na hatimaye siku yenyewe imekua leo,that its football,lina matokeo matatu
Unachokosea ni kuleta ucheshi kuonesha kuwa hujaumia

Ulijua utafungwa ila hukutegemea utafungwa na timu inayoshuka daraja

Lomalisa vipi?

Mi niliwaambia msipagawe na viwango vya msimu, mkapapalika kila siku mnakuja na nyuzi mpya kumsifia

Haya Kisinda ambaye mlikuwa mnasema ame recover naye vipi?

Au mlimaanisha ali recover data alizofuta unexpectedly?

Azizi Ki so milikuwa mnampa sifa ana mikimbio, enhee kaitumiaje?

Na yule black Maguire naskia mipira inampita juu hana habari na tege lake watu wanashauri awe anaingia na parachuti kufanya blocking kwenye mipira ya juu.

Nabi naye naskia alichachawa mpaka akapata yellow card, sasa alichachawa ili iweje kama walijua unbeaten haiwezi ku last forever?
 
Unachokosea ni kuleta ucheshi kuonesha kuwa hujaumia

Ulijua utafungwa ila hukutegemea utafungwa na timu inayoshuka daraja

Lomalisa vipi?

Mi niliwaambia msipagawe na viwanho vya msimu, mkapapalika kila siku mnakuja na nyuzi mpya

Haya Kisinda ambaye mlikuwa mnasema ame recover naye vipi?

Au mliaanisha ali recover data alizofuta unexpectedly?

Azizi Ki so milikuwa mnampa sifa ana mikimbio, enhee kaitumiaje?

Na yule black Maguire naskia mipira inampita juu hana habari na tege lake watu wanashauri awe anaingia na parachuti kufanya blocking kwenye mipira ya juu.

Nabi naye naskia alichachawa mpaka akapata yellow card, sasa alichachawa ili iweje kama walijua unbeaten haiwezi ku last forever?
Baambie baambiee
 
Unachokosea ni kuleta ucheshi kuonesha kuwa hujaumia

Ulijua utafungwa ila hukutegemea utafungwa na timu inayoshuka daraja

Lomalisa vipi?

Mi niliwaambia msipagawe na viwanho vya msimu, mkapapalika kila siku mnakuja na nyuzi mpya

Haya Kisinda ambaye mlikuwa mnasema ame recover naye vipi?

Au mliaanisha ali recover data alizofuta unexpectedly?

Azizi Ki so milikuwa mnampa sifa ana mikimbio, enhee kaitumiaje?

Na yule black Maguire naskia mipira inampita juu hana habari na tege lake watu wanashauri awe anaingia na parachuti kufanya blocking kwenye mipira ya juu.

Nabi naye naskia alichachawa mpaka akapata yellow card, sasa alichachawa ili iweje kama walijua unbeaten haiwezi ku last forever?
Hawa jamaa ilifikia mahala walikua wanakufuru kwamba hakuna wa kuwafunga dunia hii na peponi. Nilishangaa sana.
 
Back
Top Bottom