Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili nakubaliana nawewe, waliona ni timu ya kuteleza nayo... Nao Ihefu ikafanyia kazi udhaifu huo, mambo yakawa siyo mambo...Mnoooo mjini pasingetosha...ila na nyie bwana mlivimba sana mkawadharau ihefu
Hao waache yani hii kwao ni pigo kubwa sanaHawa jamaa ilifikia mahala walikua wanakufuru kwamba hakuna wa kuwafunga dunia hii na peponi. Nilishangaa sana.
Kwa iyo kumbe ni jambo la kushukuru kufungwa goli 2 badala ya 4 sio?Tume cheza hovyo sana leo ihefu wameupiga mwingi, ilibidi tufe zaidi ya goal nne. Wachezaji kama walikua wana lazimishwa vile, sema sio mbaya ratiba zijazo tunateleza tu.View attachment 2430924
Eti wa kuwafunga ni Mahakama tu[emoji28]Hawa jamaa ilifikia mahala walikua wanakufuru kwamba hakuna wa kuwafunga dunia hii na peponi. Nilishangaa sana.
Mwanga mkubwaNilisema mapema kabisaa..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji1787]Unachokosea ni kuleta ucheshi kuonesha kuwa hujaumia
Ulijua utafungwa ila hukutegemea utafungwa na timu inayoshuka daraja
Lomalisa vipi?
Mi niliwaambia msipagawe na viwango vya msimu, mkapapalika kila siku mnakuja na nyuzi mpya kumsifia
Haya Kisinda ambaye mlikuwa mnasema ame recover naye vipi?
Au mliaanisha ali recover data alizofuta unexpectedly?
Azizi Ki so milikuwa mnampa sifa ana mikimbio, enhee kaitumiaje?
Na yule black Maguire naskia mipira inampita juu hana habari na tege lake watu wanashauri awe anaingia na parachuti kufanya blocking kwenye mipira ya juu.
Nabi naye naskia alichachawa mpaka akapata yellow card, sasa alichachawa ili iweje kama walijua unbeaten haiwezi ku last forever?
Uanze na nani wakat mmeshavunja masharti ya mganga wenu wa kutumia jezi nyeusiTunakwenda kuanza Moja na tutakwenda Kuvunja un beaten yetu ya 49 games.
Kweli hivi mechi saa ngapi kule?Hili nakubaliana nawewe, waliona ni timu ya kuteleza nayo... Nao Ihefu ikafanyia kazi udhaifu huo, mambo yakawa siyo mambo...
Ihefu imeifunga Yanga na kuharibu rekodi yetu... maisha yanaenda kasi mtani... Tuiombee Senegal tu sasa
hiloooooooWale wanaolalamikia jezi nyeusi wapo humu?
Tunaendelezea tulipoishia.
Au pochi nene la mihogo fc wamelikataaa ihefu wakaamua wame mchele wao tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hili nakubaliana nawewe, waliona ni timu ya kuteleza nayo... Nao Ihefu ikafanyia kazi udhaifu huo, mambo yakawa siyo mambo...
Ihefu imeifunga Yanga na kuharibu rekodi yetu... maisha yanaenda kasi mtani... Tuiombee Senegal tu sasa
Mbona wako kipindi cha pili tayari.Mechi ilianza saa 18.00Kweli hivi mechi saa ngapi kule?