FT: NBC Premier League: Ihefu SC 2-1 Yanga SC

FT: NBC Premier League: Ihefu SC 2-1 Yanga SC

Mnoooo mjini pasingetosha...ila na nyie bwana mlivimba sana mkawadharau ihefu
Hili nakubaliana nawewe, waliona ni timu ya kuteleza nayo... Nao Ihefu ikafanyia kazi udhaifu huo, mambo yakawa siyo mambo...
Ihefu imeifunga Yanga na kuharibu rekodi yetu... maisha yanaenda kasi mtani... Tuiombee Senegal tu sasa
 
Hawa jamaa ilifikia mahala walikua wanakufuru kwamba hakuna wa kuwafunga dunia hii na peponi. Nilishangaa sana.
Hao waache yani hii kwao ni pigo kubwa sana

Waache walete ucheshi wao ku pretend hawajaumia ila hii itaenda kutengeneza mpasuko wasipokaa proper

Walifika hatua ya kuanza kubeza mafanikio ya Simba eti "Simba imeshindwa kufuzu nusu fainali kwasababu imemkosa Striker hatari kama Mayele"

Haya leo naskia alicheza

Sijaangalia mpira ila usikute hata on target hakupata, AziI Ki ndio wanampaisha kinoma kisa aliwakombea pesa zao

Haya naye kawasidia nini?

Watulie tu kimya watuache tuwaaambie madhaifu kwenye yale ambayo walikuwa wanatutambia
 
Tunakwenda kuanza Moja na tutakwenda Kuvunja un beaten yetu ya 49 games.
 
Nathemaaa, wamekiona cha moto, ha ha ha ha ha , 😂 😆 😄 🤣 😅 😉
 
Unachokosea ni kuleta ucheshi kuonesha kuwa hujaumia

Ulijua utafungwa ila hukutegemea utafungwa na timu inayoshuka daraja

Lomalisa vipi?

Mi niliwaambia msipagawe na viwango vya msimu, mkapapalika kila siku mnakuja na nyuzi mpya kumsifia

Haya Kisinda ambaye mlikuwa mnasema ame recover naye vipi?

Au mliaanisha ali recover data alizofuta unexpectedly?

Azizi Ki so milikuwa mnampa sifa ana mikimbio, enhee kaitumiaje?

Na yule black Maguire naskia mipira inampita juu hana habari na tege lake watu wanashauri awe anaingia na parachuti kufanya blocking kwenye mipira ya juu.

Nabi naye naskia alichachawa mpaka akapata yellow card, sasa alichachawa ili iweje kama walijua unbeaten haiwezi ku last forever?
[emoji23][emoji1787]
JamiiForums2139893612.jpg
 
Tunakwenda kuanza Moja na tutakwenda Kuvunja un beaten yetu ya 49 games.
Uanze na nani wakat mmeshavunja masharti ya mganga wenu wa kutumia jezi nyeusi
Mtachapika mpaka maji muite mma
 
Hili nakubaliana nawewe, waliona ni timu ya kuteleza nayo... Nao Ihefu ikafanyia kazi udhaifu huo, mambo yakawa siyo mambo...
Ihefu imeifunga Yanga na kuharibu rekodi yetu... maisha yanaenda kasi mtani... Tuiombee Senegal tu sasa
Kweli hivi mechi saa ngapi kule?
 
Tutaanza kuliamini li Gentamycine sasa hahahhah
 
Hili nakubaliana nawewe, waliona ni timu ya kuteleza nayo... Nao Ihefu ikafanyia kazi udhaifu huo, mambo yakawa siyo mambo...
Ihefu imeifunga Yanga na kuharibu rekodi yetu... maisha yanaenda kasi mtani... Tuiombee Senegal tu sasa
Au pochi nene la mihogo fc wamelikataaa ihefu wakaamua wame mchele wao tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom