Kiweriweri
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 2,150
- 3,086
Kwa kweli Nabi ni bomu.. alishindwa kutupeleka sisi utopolo makundi ya kombe la mabingwa, na sasa tunafungwa na mshuka daraja mtarajiwa! Bora tumrudishe Mwambusi wetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lia taratibu mtani, punguza sauti. PoleeeeIlikuwa ni lazima hii siku ifike Mtani. Sema nini kilichonikera ni vile timu yenyewe iliyotulaza na viatu ilikuwa Mkiani kabisa yaani. [emoji854]
But all in all tunaganga yajayo sasa.
Bas sawaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Maumivu hayakwepeki
Kumbe hata nanyi huwa mnateseka na magoli ya offsides hivi, ila magoli yenu yale ya offsides ya Boko Haram dhidi ya timu zingine huwa ni raha tu[emoji1787]
Bahasha kampa shishimbi na chirwa na kocha kashtukia wote kawatia jukwaani
Walimpa bahasha ndogo kwa kuidharau timu yake akawarudishia bahasha yao na kuwaambia wasubiri dk 90 kuweka heshima!Mwambusi Ajapewa bahasha
Ulipaswa ujue hivyo mapema!! mambo ya unbeaten yasingekuwa yanaongewa! Ona sasa ihefu alichokifanya!! Nani alitarajia ihefu kufanya yale iliyoyafanya?Si mbaya mpira siku zote, una matokeo matatu. Kufunga, kufungwa na kutoka sare.
Mpira pia hautabiriki, kama sasa kwenye WC. Tumeyapokea matokeo 🤨
Inauma Halafu Endelevu Fia Ugenini!Naomba nipewe defn ya ihefu
Kumbukuzi🤣🤣🤣Ihefu mafundi sana bhana Basi hawa tukicheza nao,tuwe tunazilinda ngoko zao zaidi,tusije wavunja kwato bure tukaingia kwenye lawama,iweje kila siku Ihefu,Ihefu,ihefuuu🤔