FT: NBC Premier League: Ihefu SC 2-1 Yanga SC

FT: NBC Premier League: Ihefu SC 2-1 Yanga SC

duh hii lugha sijazoeana nayo kijana. Mpira mmeugeuza wa upinde kila kona mnawaza uchafu
Kwan mbna sijaongea kibayaaa?? Usipanick mama calm down.

Nlikua nakuchachua kidg tyuuh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Relaaaaaaaax.
 
unaepanic ni wewe kijana. punguza mhaho
Kwan mbna sijaongea kibayaaa?? Usipanick mama calm down.

Nlikua nakuchachua kidg tyuuh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Relaaaaaaaax.
 
Nikiwa kama mdau wa mazingira nimekereka sana na tabia ya club ya Yanga SC kwende kutolewa bikra vichakani.

Niziombe mamlaka husika zichukue hatua kali kwa kitendo hiki cha kihuni dhidi ya club hii kubwa nchini. Nimekereka sana.😡😡😡




 
Hee hapo kwenye kuwapa hela hapoo.. huyu anamaanisha?
 
😀😁😂🤣
Walima mpunga sio watu wazuri kabisa mtani.
Ilikuwa ni lazima hii siku ifike Mtani. Sema nini kilichonikera ni vile timu yenyewe iliyotulaza na viatu ilikuwa Mkiani kabisa yaani. 🙃

But all in all tunaganga yajayo sasa.
 
A
B
C
D
IHEFU
IMG-20221130-WA0171.jpg
 
Back
Top Bottom