Huwezi amini. Nimetafuta huu uzi ili tu kuitafuta kama mtu kakomenti kuhusu ile offside. To me ni clear off side. Chajabu hata wachambuzi hawajui sheria ya offside. Maana wamemkosoa Erasto Nyoni.
Bado naamini ni offside mpaka nitakapo proviwa otherwise.
Huwezi amini. Nimetafuta huu uzi ili tu kuitafuta kama mtu kakomenti kuhusu ile offside. To me ni clear off side. Chajabu hata wachambuzi hawajui sheria ya offside. Maana wamemkosoa Erasto Nyoni.
Bado naamini ni offside mpaka nitakapo proviwa otherwise.
Hata mm nimeshindwa kuwaelewa wachambuzi wetu ile ni clear offside. Ndio maana hata erasto alinyoosha mkono. Sema ndio hivyo soka letu hadi fulani aseme ndio watu waamini.