The Big Brain
Member
- Mar 8, 2023
- 24
- 38
Tunachofanya muda huu ni kuwaonyesha tu kwamba champions league inachezwa objectively, what matters the most is 3 points no matter how u play,, tumerudi kwenye ligi tunampiga mtu na tunaupiga mwingi..wachambuzi wajifunze kuweka akiba ya maneno ..
Bado 4 au 2 hiviNadhani goli 3 zinatosha ktk kipindi hiki kigumu cha Msiba.
Nimemkumbuka Bruno FernandesKuna makosa yanafanywa mara kwa mara na wachezaji na benchi la ufundi lakini kiuhalisia hayapaswi kufanywa kwa timu kubwa kama Simba. Too much back pass, kunyoosha mikono kama ishara ya faul na kuacha kuzuia mpira walidhani refa atapiga filimbi, kutojua kuusoma mchezo na kufanya sub zenye manufaa zaidi, kujisahau ndani ya uwanja na kuridhika haraka.
4-2Mzee😄😄😄😄😄Kwa mtu anayejuwa mpira SAA hizi lazima atakuwa ZBC 2 kuangalia mpira wa kisiasa mpira mwingi unavyopigwa na Mamelodi Sundowns, Al Ahaly ulimi nje, 3 kwa 2 game is on.
Endeleeni kuangalia haya matakataka yenu ya Manungu.
Simba hii mkipangwa robo fainali na Mamelodi Sundowns msipeleke timu uwanjani, wako fire kuliko Raja Casablanca.
Na wewe unayejua mpira huku umefwata nini?Kwa mtu anayejuwa mpira SAA hizi lazima atakuwa ZBC 2 kuangalia mpira wa kisiasa mpira mwingi unavyopigwa na Mamelodi Sundowns, Al Ahaly ulimi nje, 3 kwa 2 game is on.
Endeleeni kuangalia haya matakataka yenu ya Manungu.
Simba hii mkipangwa robo fainali na Mamelodi Sundowns msipeleke timu uwanjani, wako fire kuliko Raja Casablanca.
Mkuu Dr PhD wa Utopolo... Mbona tuko huku pamojaKwa mtu anayejuwa mpira SAA hizi lazima atakuwa ZBC 2 kuangalia mpira wa kisiasa mpira mwingi unavyopigwa na Mamelodi Sundowns, Al Ahaly ulimi nje, 3 kwa 2 game is on.
Endeleeni kuangalia haya matakataka yenu ya Manungu.
Simba hii mkipangwa robo fainali na Mamelodi Sundowns msipeleke timu uwanjani, wako fire kuliko Raja Casablanca.
Mashabiki wa Yanga wana ugonjwa wa afya ya akili.Mkuu Dr PhD wa Utopolo... Mbona tuko huku pamoja
Wewe jamaa huna akili na hiyo Phd ya kupika mandazi. Nani kakuita kwenye huu uzi?Kwa mtu anayejuwa mpira SAA hizi lazima atakuwa ZBC 2 kuangalia mpira wa kisiasa mpira mwingi unavyopigwa na Mamelodi Sundowns, Al Ahaly ulimi nje, 3 kwa 2 game is on.
Endeleeni kuangalia haya matakataka yenu ya Manungu.
Simba hii mkipangwa robo fainali na Mamelodi Sundowns msipeleke timu uwanjani, wako fire kuliko Raja Casablanca.
Mzamiru kapewa kadi ya njano
Bado tunawadai 4 au 2Saidooo anapiga shuti lakini linakwemda nje ya lango
Ilikuwa ni shambulizi la hatari mno
Hahahaha[emoji23]Mashabiki wa Yanga wana ugonjwa wa afya ya akili.
Anahabarisha kinachoendelea uwanjaniWee unaonaje kaonewa au hutaki apewe kadi