FT: NBC Premier League | Mtibwa Sugar 0-3 Simba SC | Live Updates | Manungu Stadium

FT: NBC Premier League | Mtibwa Sugar 0-3 Simba SC | Live Updates | Manungu Stadium

Wadua ni mimi tu,Hawa warusha matangazo wa Azam wana matatizo gani?
Hii kutupa maongezi wa Makocha au kelele za benchi la ufundi lipo sawa?

Wachana na huyu anayetangaza mpira naye ni kama hajielewi pia.
 
Manungu kwanza. Mamelodi tutamalizana naye robo fainali. Al Ahly hawana hamu na Simba. Tulishamalizana nao kwa Mkapa mwaka juzi.
Mi mwenzio ni simba haswaaa,ila hawa wazulu siwataki kabisa huwa wanapiga nyingi sana hawa
 
Mi mwenzio ni simba haswaaa,ila hawa wazulu siwataki kabisa huwa wanapiga nyingi sana hawa
Hao jamaa achana nao, unawafuata kwao wanakupiga 8, wanakuja kwako wanakupiga Hamsa ..
 
Back
Top Bottom