Inawezekana ni fitna za Yanga π€£ππ€£ maana bila matokeo ya mechi hiyo ni ngumu kupanga matokeo mechi ya Simba na Coastal.Naona hata haieleweki kama inachezwa ama laa? Nikiangalia livescore naona haijaanza bado
pame nini
Ha ha ha haaaHuyu naye kimbelembele tu alishindwa kumpasia Saido?
Mkubwa upo[emoji849][emoji849]
Wameuza mechiAfanye wapii, kyombo sijui hata anafanya nn humu ndanii, atokee njee, saidooo anakosa wa kumlishaa mipiraa aaah.
kafunga tena auSaidooooooooo.
Hapana mweee niliteleza tu hawajauza banaWameuza mechi
imekuwaje tenaHahahahaha noumaaa sana mazee
waooo njoo nikumbateSaidooooooooooooooooooooo!!!!!!
Nimeona hapa watu wanaandika Saidoooo moja kwa moja najua ikiandikwaga hivyo humaanisha goli.imekuwaje tena