Kwani mechi imetoa goli ngapi kamanda? 3+2=5Tunashinda 5 alisikika mwana uto mmoja kwenye kilabu cha pombe chafu.View attachment 3180336
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mechi imetoa goli ngapi kamanda? 3+2=5Tunashinda 5 alisikika mwana uto mmoja kwenye kilabu cha pombe chafu.View attachment 3180336
Utafikiri leo ndo dube day.Wewe ni matako huoni tunafuraha ya hat trick ya dube.
Umeshaanza kuropoka na mechi bado zipo kibao,,unaanza kujifichia kwenye kichaka cha clean sheet🚮🚮Uto ukiwaambia habari za clean sheet wanadhani unaongelea mashuka masafi
Nyuma kwenu kunavuja saaana ndo maana magoli hayaachi kuingia. Nadhani ule mwiko uliokuwa unaingizwa na kutolewa na wanyamwezi, wala ice cream na wale waarabu umeacha uwazi saana. Samahani lakini.....Umeshaanza kuropoka na mechi bado zipo kibao,,unaanza kujifichia kwenye kichaka cha clean sheet🚮🚮
Ni lini umeshaona makosa ya Boka labda au mashujaa wewe unawachukuliaje labda?tumecheza na mashujaaa jomba, gazeti la nini?
Ule uchawi aliotupiwa Mpumelelo umeisha.Mpumelelo kufunga hattrick niliona dalili za matatizo yake kwenda kuhamia kwa mwingine.
Ila sikujua kama itakuwa ni kwa kipa.
Ni lini umeshaona makosa ya Boka labda au mashujaa wewe unawachukuliaje labda?
Mpira sio bolingo wewe dogo uwe na adabu Boka ni mchezaji mwenye kila kitu..
Mpira utakua unautazama kwa kutumia matako sio macho..View attachment 3180350
Haswa miguu mirefu na mbio zisizo na faida
Kunavuja but patazibika ndio kwanza dube keshaanza kuwafunga midomo,,uyo kipa khomein atapigwa msasa alikuwa na siku mbaya kazini leoNyuma kwenu kunavuja saaana ndo maana magoli hayaachi kuingia. Nadhani ule mwiko uliokuwa unaingizwa na kutolewa na wanyamwezi, wala ice cream na wale waarabu umeacha uwazi saana. Samahani lakini.....
Una moyo saana. HongeraKunavuja but patazibika ndio kwanza dube keshaanza kuwafunga midomo,,uyo kipa khomein atapigwa msasa alikuwa na siku mbaya kazini leo
Alipofunga akachukua point ngapi labda tuambieKwani mashujaa kafunga ngapi huko
Kwani wewe una macho? Zaidi ya matako yaligandiwa na mwiko nyumaMpira utakua unautazama kwa kutumia matako sio macho..
Point 2Alipofunga akachukua point ngapi labda tuambie