joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Kipa kachafua ubao ilikuwa clean sheet.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo hivyo. Wengineo walishinda lakini waling'oa viti.Ukisikia ushindi bila furaha ndo huu sasa.
UnatesekaUkisikia ushindi bila furaha ndo huu sasasa.
Wanazubaisha mpira na kupunguza kasi ya movements za magoli...Azizi Ki anadrible sanaMdathir na Azizi Ki wanaikosesha Yanga ushindi mnono
MUNGU mwemaWamepigwa Mbili sio Moja
Mna bahatiWanazubaisha mpira na kupunguza kasi ya movements za magoli...Azizi Ki anadrible sana
N way, tumeshinda na kuondoka na Pp
Pointi 3
Nani anabisha?
Hatuna bahati, tuna uwezoMna bahati
Nyie ndio mlirusha vitu huku mmevaa jezi za Simba .Ila Dube dah 🤣🤣
Inatakiwa Mo Afanye Jambo hapo.Tupate saini yake
Mpumelelo kufunga hattrick niliona dalili za matatizo yake kwenda kuhamia kwa mwingine.Ukisikia ushindi bila furaha ndo huu sasa.
Na kuna watu hapa wanaamini Dube kafunguliwa na bro Suguye?kijana wa mchungaji suguye
Asante kwa maoniUto atapoteza hii mechi, hizo tatu zinarudi na wanapigwa cha 4
Wewe ni matako huoni tunafuraha ya hat trick ya dube.Ukisikia ushindi bila furaha ndo huu sasa.
Kufungwa kafungwa MASHUJAA. Unatesekea Nini?Unateseka
tumecheza na mashujaaa jomba, gazeti la nini?Kulikua na zuzu moja lilikua linalia kila siku humu et Boka ni nani alimleta Yanga..Ndio nikajua kumbe kuna mazwaza sana humu jukwaani yani Boka unaweza ku doubt uwezo wake kweli huyu ni beki wa kisasa kabisa unamkuta kwenye maeneo yote kwa wakati yani kipindi cha kushambuliwa utamuona eneo lake na kusaidia kukaba lakini pia timu inaposhambulia utamuona akisaidia mashambulizi.
Jamaa lina control nzuri ya mpira na pia sio rahisi kulipokonya mpira linapiga kross kwa wakati sahihi na jamaa lina utulivu mno kwenye eneo la hatari la mpinzani..