Kipa alifanya uzembe kidogo walikuwa wanakula 3-0
Jana kidogo tu ingekuwa 3-3Hata 4 zingefika kama siyo mambo ya Ki.
Ila nyanda yule duh...ikinyooshwa tu imo.Jana kidogo tu ingekuwa 3-3
Mashujaa wakawe na huruma kidogo leo
WalipambanaWhat a game it was!🔥🔥
Aisee!Yanga msijisahaulishe kule champions league kwenye kundi lenu mnaburuza mkia mkiwa na point nusu + nusu
Yanga bingwa [emoji172][emoji169]
Hao wetu tu.
Mbona kumepoa sana humu?, utopolo kuweni na amani leo mnashinda
Ni Mashujaa Hawezi Kwenda Live Ameona Anakufa Nyingi 😂
Ngapi ngapi jamani?
Kuna nini huko?