Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Embu kelele.Moderator na Maxence Melo na Active na Paw na JamiiForums inamaana hamjui kuwa hii mechi iko live muda huu?
Mashujaa wakawe na huruma kidogo leo
Kwa hiyo hicho kinachochezwa na timu yako unaridhika kabisa na unaamini ukikipaste kwenye champions league ndiyo kitakutoa mkiani!?Kama wanavyofanya wakikutana na sisi, wanasimba sjui tupo vipi yan
Hakikusaidii acha kusumbua modsWand Tuekeeni kutufe cha live
Tyr wameweka wambie wakiondoe basiHakikusaidii acha kusumbua mods
Ha ha ha mkuu acha usumbufu tafadhaliTyr wameweka wambie wakiondoe basi
Yanga anashinda 5Kwa nilichokiona hizi dakika 10 za mwisho za kipindi cha kwanza....tusubirini second half tu. Kuna dalili za Mashujaa kupindua meza.
Kilichomponza kolo akala mkono ndiyo kitamponza mashujaa🔰𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇𝐃𝐀𝐘🔰
🏆 #NBCPremierLeague
⚽️ Young Africans SC🆚Mashujaa FC
📆 19.12.2024
🏟 KMC Complex
🕖 10:00 Jioni
#TimuYaWananchi
#DaimaMbeleNyumaMwiko
View attachment 3180197
KIKOSI CHA YANGA KINACHOANZA LEO.
View attachment 3180280