Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Kwa hiyo mlikuwa baadhi mnaota Wananchi watapoteza mechi zote zikizobakia, na timu yenu itashinda mechi zote na kuchukua ubingwa wa ligi kuu kwa mara ya 5 mfululizo! πππTANESCO zimeni umeme hii nchi uhuru umezidi.
Nyinyi ndiyo maana Rage aliwaita mbumbumbu!! ππ