Naona kama wanazidiwaDodoma wanafanya uzembe mwingi.
watalizwa hapa
Mabadiliko waliyofanya Azam yamewaongezea nguvu.Dodoma wanafanya uzembe mwingi.
watalizwa hapa
Hakika wana timu ya kawaida sanaTuacheni utani Azam kumfunga Simba au Yanga huwa wanaotea tu au kuwekeza nguvu kwenye mechi ya simba au Yanga,lakini unaona kabisa hizi timu zingine ni size yao wanalingana kila kitu,ndo maana mwisho wa siku msimamo Yanga akiongoza au Simba akiongoza unakuta mtu wa tatu yuko nyuma hata points 20
Uko SahihiTuacheni utani Azam kumfunga Simba au Yanga huwa wanaotea tu au kuwekeza nguvu kwenye mechi ya simba au Yanga,lakini unaona kabisa hizi timu zingine ni size yao wanalingana kila kitu,ndo maana mwisho wa siku msimamo Yanga akiongoza au Simba akiongoza unakuta mtu wa tatu yuko nyuma hata points 20
Azam wanaendelea kumdekeza mtoto wao mpendwa wakati anazurura tu uwanjani.Game On Dakika ya 23.
Dodoma Jiji 0 - 0 Azam