FT | NBC: Simba Sc 6-1 Polisi Tanzania | Azam Complex 06/06/2023

FT | NBC: Simba Sc 6-1 Polisi Tanzania | Azam Complex 06/06/2023

Mimi nakuelewa. Huwezi kushabikia makolo alafu ukajua medali ni nini. Hauwezi.
Medali ya bila ubingwa ni kukubali kuwa wewe ni loser.

Sio kitu cha kujivunia hata kidogo
 
Mayele anacheza na Prison ni mechi ambayo haiwezi kuwa rahisi hivyo nafasi ya yeye kufunga ni ndogo kuliko Saido ambaye anacheza na Coastal tena tukiwa nyumbani
Vyovyote utakavyochambua wewe... Mimi Niko nimekaa paleee. Safari hii mpaka kunguni wote tunapita nao tu. Potelea mbali
 
Hapana, gongo wazi lengo lilikua kuvishwa medali. Shanga watavaa makolo, maana hawana cha kuvaa!
Medali ni ile aliyopewa Bingwa, nyie mmepewa shanga tolea jipya
 
Nasemajeee kama vipi vunja bei nae aingilie kati tu.... Kama kuingilia katikati unaona rahisi. Msimu huu hampati kitu nyie madunduka
GSM kahusika kwa % kubwa kwenye ubingwa wenu nje ya uwanja.

Na saizi lazima afanye kitu kunusuru mwana apate kiatu.

Sema naye yule jamaa haaminiki, GSM anaweza kujipinda kumlipia ada mtoto wa refa ikapatikana penati ya Cuba halafu mwana akakosa.
 
Halafu msimu huu Simba tumewashusha daraja jeshi la ulinzi na jeshi la polisi halafu tunashangaa kwa nini Yanga wanapendelewa. Tuna uLissu fulani ndani yetu unatukwamisha.
 
GSM kahusika kwa % kubwa kwenye ubingwa wenu nje ya uwanja.

Na saizi lazima afanye kitu kunusuru mwana apate kiatu.

Sema naye yule jamaa haaminiki, GSM anaweza kujipinda kumlipia ada mtoto wa refa ikapatikana penati ya Cuba halafu mwana akakosa.
Sisi tunaomba na vunjabei nae ashinde mechi zake... Mbona simpo mkuuu. Mana mazungumzo ya hapa sasa tunataka Kwa facts hata mechi nje ya nchi.. kuanzia tp mazembe ,huko sauthi afrika mpka uarabuni ...GSM YUKO WAPI
 
Fun facts

Goli la kwanza limefungwa dakika ya 26

Kuanzia dakika hiyo ukiendelea kuhesabu mpaka dakika ya 21 lilipofungwa bao la pili utakuwa umekamikisha namba 6

Goli la Israel Mwenda lilifungwa dakika ya 66

Mechi imeisha kwa ushindi wa mabao 6

Na leo ni siku yenye sita sita mbili, yani tarehe 6/6

Cha ziada ni kuwa hata mimi nimezaliwa tarehe na mwezi kama huu.
 
Sisi tunaomba na vunjabei nae ashinde mechi zake... Mbona simpo mkuuu. Mana mazungumzo ya hapa sasa tunataka Kwa facts hata mechi nje ya nchi.. kuanzia tp mazembe ,huko sauthi afrika mpka uarabuni ...GSM YUKO WAPI
Vunjabei ni kit maker, ila GSM na jana alivyohakikishiwa uhuru kwenye biashara zake basi ataenda kufanya x5 ya vile alivyokuwa anafanya kabla hajapewa confidence
 
Simba anza na hii speed wakati wa ligi itakapoanza mtakuja kunishukuru
 
Vunjabei ni kit maker, ila GSM na jana alivyohakikishiwa uhuru kwenye biashara zake basi ataenda kufanya x5 ya vile alivyokuwa anafanya kabla hajapewa confidence
So unatuhakikishia ubingwa Caf mwakan Kwa unavyomjua bos wetu right??
 
Fun facts

Goli la kwanza limefungwa dakika ya 26

Kuanzia dakika hiyo ukiendelea kuhesabu mpaka dakika ya 21 lilipofungwa bao la pili utakuwa umekamikisha namba 6

Goli la Israel Mwenda lilifungwa dakika ya 66

Mechi imeisha kwa ushindi wa mabao 6

Na leo ni siku yenye sita sita mbili, yani tarehe 6/6

Cha ziada ni kuwa hata mimi nimezaliwa tarehe na mwezi kama huu.
A very happy birthday to you Scars
Maisha zaidi....Baraka zaidi
 
Back
Top Bottom