kwamba ndo kawafundisha hayaGamondi ni useless
Siyo wivu , mpira mchezo wa waziWIVU
Fala huyo, mapumbavu kama haya na Manara ndio yamekuja kutuharibia mpira wetu.Wacha uchawi mkuu
Ngushi ni Yipe mwenye NIDA [emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngushi anaanguka mwenyewe tu
Wachezaji wa Tanzania ni kama homa za vipindi hawaaminiki.Anacheza mpira na mahirizi ya kisukuma, today he is good 2moro rubbish