FT | Ngao ya Jamii: Yanga SC 2-0 Azam FC | Mkwakwani Stadium Tanga | Agosti 9, 2023

FT | Ngao ya Jamii: Yanga SC 2-0 Azam FC | Mkwakwani Stadium Tanga | Agosti 9, 2023

Small team mentality unaiona kabisa makosa binafsi wanayofanya mabeki tofauti na Yanga,

Hiyo hali ndio iliyokua inavikuta vilabu vyetu tukicheza na kina Al ahly, Wydad, nk mnakua na kitete mnafanya makosa binafsi mara beki karudisha pasi kwa kipa inakua fupi mnafungwa.

Hicho ndicho walichokifanya Azam jana
Mbona Azam wakicheza na Simba huwa hatuoni hii tunaita "small team mentality" ? Yanga waliikamata gemu haswa, umaliziaji ndio bado pana shida, labda huyu Hafidh tumuone ndio tupate picha halisi.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Azam Wasiogope kuuza wachezaji na Kusajiri wengine Dirisha Bado liko wazi, Chukua Djuma Shabani, Chukua Banda, Chukua Morrison, Tafuta kipa mzurii, na wengine, Uza TakaTaka zote walizo nazo

Ni kama Hawajafanya usajiri wala hawajakaa Pre season, Yanga ilikuwa Mbovu lakini Azam Ilikuwa Mbovu zaidi.

Robertinho akicheza kesho hivii aishe huko huko Tanga
Azam ilivyocheza jana ndiyo kiwango chao halisi.Na kwa uchezaji huo wangecheza na Simba,Simba angekufa tu.
 
Mbona Azam wakicheza na Simba huwa hatuoni hii tunaita "small team mentality" ? Yanga waliikamata gemu haswa, umaliziaji ndio bado pana shida, labda huyu Hafidh tumuone ndio tupate picha halisi.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Yes, they can beat Simba, but hawawezi chukua makombe sababu ya hiyo mentallity yao.

Nb: Usitegemee mechi fainali hiyo hapo kombe hilo hapo Azam amfunge Simba, never

Atamfunga nusu, fainali akikutana na Yanga anarudi kwenye default yake ya small team anafungwa
 
Azam ni kama Spurs tuu anavyomfungaga City ila kubeba kombe hawezi
 
Azam Wasiogope kuuza wachezaji na Kusajiri wengine Dirisha Bado liko wazi, Chukua Djuma Shabani, Chukua Banda, Chukua Morrison, Tafuta kipa mzurii, na wengine, Uza TakaTaka zote walizo nazo

Ni kama Hawajafanya usajiri wala hawajakaa Pre season, Yanga ilikuwa Mbovu lakini Azam Ilikuwa Mbovu zaidi.

Robertinho akicheza kesho hivii aishe huko huko Tanga
Duh! Na uzee wangu wote kuna mambo sujayajua!! Kumbe na kocha hua anaingia uwanjani kucheza[emoji849]
 
huko Tunisia walienda kufanya nini?
Kule alipofungwa goli nne akaona asipofanya jambo ubao utasoma 17-0, kama robo robo fc alivyopigwa 17-1 na Galatasaray. Akaweka mpira kwapani.
 
Sasa tumepita jiandaeni inaenda kujirudia kama tarehe 6 April [emoji2]
 
Mdaka mishale kawa mdaka rede Leo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom