FT | Ngao ya Jamii: Yanga SC 2-0 Azam FC | Mkwakwani Stadium Tanga | Agosti 9, 2023

FT | Ngao ya Jamii: Yanga SC 2-0 Azam FC | Mkwakwani Stadium Tanga | Agosti 9, 2023

Yanga wanapambana mwanzo mwisho hadi wapate matokeo.

Azam walikata pumzi dakika ya 70.
Ndio maana waliwakimbia El-Tunis.

Na kusingizia Manyanya alivunjwa mkono.
Mbona leo kacheza aliponaga lini.

Bora Ihefu wanapambana kuliko Azam.
 
Sawa mkuu [emoji23] mie nitafurah Sana ukishinda ili tukutane fainal nikupige vizur ila nitafurahi zaid ukifungwa ili muanze kutukanana wenyewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bahati mbaya ni kua fainali hufiki
 
Kocha dabo dabo wa azam keshaona mwanzo wa mwisho wake. Akifikisha mechi tano za nbc bila kutupiwa virago , nitaukana uraia wangu wa pemba
Hamna Kocha Azam Kuna wahuni wanaokula pesa kiulani,timu inahitaji makombe huwezi kuleta kocha asiyekuwa na uzoefu wa kushiriki michuano mikubwa ya Afrika, japokuwa hizi timu za Kariakoo zinazingua Ila wapo vizuri kuleta makocha na wachezaji hawaokoti vichochoroni....Sasa Kocha wa Vijana atakusaidia Nini kwenye senior team?

Kuna Muda huwa nasema pale Azam Fc hakuna pesa hasa linapokuja swala la usajili,wanasajili wachezaji kutoka timu ndogo ndogo, huwezi kuta Azam inaenda Asec au timu kubwa zingine kama Vita club, Mazembe kuchukua wachezaji.

Kocha Kama kina Ibenge ni maji marefu kwa Azam Fc mi naona tisilaumu Sana.

Angalia mtu Kama Max zengeli,Azizi ki,Atouhoula Ni wachezaji haswa siku Azam akiweza kubattle na Simba na Yanga kwenye usajili wa Wacheji na Makocha atapindua Meza.

Ni Bora kuwa na kocha Mzawa kuliko huyu Dabo hamna kocha.
 
Hamna Kocha Azam Kuna wahuni wanaokula pesa kiulani,timu inahitaji makombe huwezi kuleta kocha asiyekuwa na uzoefu wa kushiriki michuano mikubwa ya Afrika...
Inatosha kusema kuwa Ukocha ni moja ya kazi ngumu saaaaana
 
Azam Wasiogope kuuza wachezaji na Kusajiri wengine Dirisha Bado liko wazi, Chukua Djuma Shabani, Chukua Banda, Chukua Morrison, Tafuta kipa mzurii, na wengine, Uza TakaTaka zote walizo nazo

Ni kama Hawajafanya usajiri wala hawajakaa Pre season, Yanga ilikuwa Mbovu lakini Azam Ilikuwa Mbovu zaidi.

Robertinho akicheza kesho hivii aishe huko huko Tanga
 
Ukocha Ni kazi ngumu.....lakini lazima utulize akili,hautakiwi uzidiwe maarifa mpaka ma mashabiki wanaona kabisa pale pametoboka wewe hauoni...
Huko Tunisia walienda kufanya nini?
 
OKW BOBAN SUNZU uache ushabiki mbuzi. Ukiangalia kwa undani, mbaya wako Aziz Ki ndipo anaonyesha umahiri. Kuna jambo ambalo Yanga wamefanya msimu huu ambao sie hatujui. Inaonesha ni kama Bayern Munich walivyofanya kumuachia mfungaji wao mahiri Robert Lewandowski ili kuwajenga wengine ambao wataisaidia siku za usoni, ndivyo Yanga ilifanya kwa Mayele. Muha Joannah

Endelea na uhondo uone mpira

 
Azam Wasiogope kuuza wachezaji na Kusajiri wengine Dirisha Bado liko wazi, Chukua Djuma Shabani, Chukua Banda, Chukua Morrison, Tafuta kipa mzurii, na wengine, Uza TakaTaka zote walizo nazo

Ni kama Hawajafanya usajiri wala hawajakaa Pre season, Yanga ilikuwa Mbovu lakini Azam Ilikuwa Mbovu zaidi.

Robertinho akicheza kesho hivii aishe huko huko Tanga
Azam FC sio wabovu kama una bisha jielegeze leo uje ucheze nao 3rd runner up

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Azam Wasiogope kuuza wachezaji na Kusajiri wengine Dirisha Bado liko wazi, Chukua Djuma Shabani, Chukua Banda, Chukua Morrison, Tafuta kipa mzurii, na wengine, Uza TakaTaka zote walizo nazo

Ni kama Hawajafanya usajiri wala hawajakaa Pre season, Yanga ilikuwa Mbovu lakini Azam Ilikuwa Mbovu zaidi.

Robertinho akicheza kesho hivii aishe huko huko Tanga
Mkuu Azam wanawachezaji wazuri tuu waliopo ukiacha yule kipa uchwara ambaya akirudishiwa mpira hata kutuliza hawezi( sijui kocha wa makipa Azam anafundisha nini) kinachoitesa Azam ni small team mentality hivo hawajitumi hakuna presha kutoka nje, labda wakianza kucheza kina Bangala itabadilika kidogo
 
Small team mentality unaiona kabisa makosa binafsi wanayofanya mabeki tofauti na Yanga,

Hiyo hali ndio iliyokua inavikuta vilabu vyetu tukicheza na kina Al ahly, Wydad, nk mnakua na kitete mnafanya makosa binafsi mara beki karudisha pasi kwa kipa inakua fupi mnafungwa.

Hicho ndicho walichokifanya Azam jana
 
Back
Top Bottom