Daniel Mwinula
JF-Expert Member
- Jul 15, 2012
- 302
- 328
Tatizo Simba wanajua kwmb wakikutana na Yanga forward atakuwa Ngushi….!! Lazima akae mwamba wa kuwalaza macho….!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawapa pole ya macho kwa kuangalia game bovu.
Nawakaribisha kwenye mechi ya kesho mje msuuze
Msimu uliopita azam unayemdharau wewe alikufunga mtwara kwenye nusu fainaliSafari hii usajili si kafanya yeye mwenyewe Yusuf..! Hii timu bado haijawa ya ushindani ni mbwembwe tu za usajili.
Ulikosea kidogo kwenye utabiri wako! Ukiyageuza hayo matokeo ndo kilichotokea leo. "KARMA" ime apply kwenye utabiri wako🤣🤣🤣Nyie AzamFc hebu wafungeni hao Utopwinyo 2-0 ili kuleta utulivu huko Tanga. Ni mimi Greatest Of All Time, Shabiki nguli wa AzamFc kwasasa nikiwa Niamey, Niger.
Itakuwa inakutoboa wewe.Ya mwaka jana. Mwaka huu siioni ikitoboa popote pale kimataifa.
Nyie si kila siku Azam wanawakanda?Yanga mnashangilia utafikiri mmeifunga Simba kumbe walamba koni
Azam hamna timu humo
Nipo mkuu. Nitarudi soon 😅Nakusalimu bwana aposto umetususa sana upande wa simulizi 😁😁
HaukuhusuHaier ipo Mgongoni...! Huu mkataba Wameingia lini..?
Sure, pale mbele tunamkosa mtu.Yanga wamecheza vzr, ni pengo la mayele tu ndo linaonekana la kuziba.
Mkeka umetoa niliibetia timu pendwa TanzaniaMuda wa lawama umekaribia
Ligi inakaribia kuanza, ni muda wa kuanza kuona miili halisi ya watu...
Ubingwa upo pale pale mi siwezi geuka tuombe uzima tuKwanza nataka tukubaliane kitu.
Yanga hii ni bora na inaweza kuchukua ubingwa?
In case huko mbeleni mambo yakageuka usije uka switch na kuanza kumtaja Mayele na Nabi?
Sawa ngoja tuoneUbingwa upo pale pale mi siwezi geuka tuombe uzima tu
Jamani cc wenye vibanda umiza ndio tunapopata maokoto yetu huko mechi zikiwa nyingi hasa za simba au yanga ikicheza....Karia na wenzie, wanaharibu mpira