SMARTER GHOST
JF-Expert Member
- May 22, 2021
- 298
- 1,258
Tumewafunga Azam, Fei toto, na makolo kwa pamoja!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umakumbuka mara ya mwisho tuliwalaza na viatu Sasa mambo yanajirudia tena nyie ni chakula chetu.Kwa mpira gani wa ajabu ulonao? Leta hiyo timu yako uanze malalamiko kwann Phiri hachezi.
Mkuu umeona mpira vizuri na namna alivyowekewa watu?Katuaibisha sana wana lunyasi tulimtegemea sana
Wamewekwa akiba kwa ajili ya fainali.Leo ningependelea pacome na konkon wacheze mbona siwaoni hata substitution
Kwahiyo hutaki tukutane siyo?Aisee nitafarijika sana wakifungwa, ili wakutane tena na wababe wao Azam kwenye kutafuta mshindi wa tatu.
UmepatiaHongera WANANCHI, mnaendelea kutuheshimisha. Fainali naiona ni Yanga vs Singida BS
Mnyama huyu???
Mwiko nyumaDaima mbele....
we are dar young africansWaliongea yote wakamaliza. Wakasahau kubakiza akiba...
Yanga hii ni zaidi ya msimu uliopita mtapata tabu sana...
Hatubakishi kombe
#Since 1935 💛💚
Kunywa sumuWameniudhi
Simba hii itawa dissapoint kuliko ile ya msimu uliopita.Simba hii hii ya namba 6 mpya mkuu?
Kama kafa ShogaMakolo kimyaaaa!!!!!
Mkachukua kombe gani?Nimeona kipa wa yanga anaruka ruka lakin kila akimkumbuka KiBU D mkandaji furaha Huisha
Tunacheza kulingana na pumzi ya mpinzaniIla Yanga wakicheza kama walivyocheza leo halafu wakakutana na Simba watakufa. Tushukuru Azam pumzi walikata