FT | Ngao ya Jamii: Yanga SC 2-0 Azam FC | Mkwakwani Stadium Tanga | Agosti 9, 2023

FT | Ngao ya Jamii: Yanga SC 2-0 Azam FC | Mkwakwani Stadium Tanga | Agosti 9, 2023

IMG_4983.jpg

Ntaambia nini watu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni sahihi. Sijui shida nini?
Idadi ya camera ni chache sana. Kiasi kwamba camera moja inatumika kuchukua tukio moja. Wakati kiuhalisia, tukio moja linatakiwa kuchukuliwa na camera zaidi ya moja, kwenye angle tofauti tofauti, hivyo kupelekaea view kuwa nzuri
 
Back
Top Bottom