New City
JF-Expert Member
- Apr 17, 2014
- 2,880
- 3,794
Kwa hiyo ushaanza kukubali kua Ngao ya jamii Ni Mali yetu tenaNdio kombe lenu pekee msimu huu utopolo
Basi sawa bwana kolo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo ushaanza kukubali kua Ngao ya jamii Ni Mali yetu tenaNdio kombe lenu pekee msimu huu utopolo
Huenda ikawa hivyo utoKwa hiyo ushaanza kukubali kua Ngao ya jamii Ni Mali yetu tena
Basi sawa bwana kolo
🤣🤣Mnyama huyu???
Kijana kwa yanga yako hii mbovu mno usiombe tukutane
Nakazia Mkuu.Kesho watapigwa kama ngoma ,SFG wana vyuma hatari ambavyo simba hawawezi kuvikabili.
Umeamua kwa makusudi kabisa kunipunguzia hii furaha yangu eti! 🙁Naona mwisho umeweka emoji ya Nguvu Moja [emoji881][emoji881]Simba kama Maji.
Sometime naachaga kujibu quote sababu ya watu wa aina yako, ambao at the end of arguments wanaona kejeli ndio zinafaaBasi niko na argue na kiazi hapa. Bye!
Huyu jamaa ni Mtu aisee kwani anapambana hatari.
Mkuu usije kimbia uzi.
Kaa hapa hapa
Huyu dogo asitegemee kupata furaha akiwa Azam. Furaha aliiacha Yanga. Huko Azam ataambulia hela tu na kuota kitambi.View attachment 2712927
Ntaambia nini watu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Idadi ya camera ni chache sana. Kiasi kwamba camera moja inatumika kuchukua tukio moja. Wakati kiuhalisia, tukio moja linatakiwa kuchukuliwa na camera zaidi ya moja, kwenye angle tofauti tofauti, hivyo kupelekaea view kuwa nzuriNi sahihi. Sijui shida nini?
Tukutane Fainali jomba ndo tutasemezana [emoji2957]Nawapa pole ya macho kwa kuangalia game bovu.
Nawakaribisha kwenye mechi ya kesho mje msuuze