FT: Nusu Fainali ASFC Cup: Azam FC 2-1 Simba SC : 07-05-2023, Uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara

Mpaka Sasa mwekezaji amesema ameshatumia bilioni 55 ukiacha zile bilioni 20 za uwekezaji.
Pesa zote izo timu inaishia robo ya Caf champion league na bado anatakiwa atie mzigo Ili timu iweze kuvuka robo.
Kama Mo hatutapeli basi yeye katapeliwa,kama hajatapeliwa basi kutakuwa na watu wapumbavu kuwahi kutokea kuongoza soka kiasi cha kutumia pesa zote hizo na huchukui kikombe chochote!

Utopolo wametumia kiasi kisichozidi b. 15 na ndio wapo hapo!

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
KILA SIKU TUNAWAAMBIA ACHENI KULETA WACHEZAJI MIZIGO. TIMU INATAKIWA IFANYE MABADIRIKO. VIONGOZI WANAPASWA WAJIUZURU NA WACHEZAJI WAONDOSHWE.

Kwanini mmepoteza Beno kakolanya kirahisi hivyo????


1. Mohamed Ottara.
2. Joash Onyango.
3. Ismail sawadogo.
4.Peter Banda.
5. Pape Sackho.
6.Agustine Okrah.

WACHEZAJI WAZAWA WA KUACHWA.

1.John Boko.
2.Jonas Mkude.
3. GADIEL Michael.
4. Nassor Kapama.
5.Habib Kyombo.

NAFASI MUHIMU ZA KUJAZA.

1.Golikipa nambari Mbili.
2. Beki wa kushoto.
3. Mabeki wa kati .
4. Kiungo mkabaji ,, 6 ,, 8.
5. Mshambuliaji wa KIGENI futi sita.
6. Winga wa kushoto.

ZINGATIENI SANA VIMO VYA WACHEZAJI WALAU 6 FEET.

BORA KUSAJILI WACHEZAJI WACHACHE KULIKO KUWA NA RUNDO LA WACHEZAJI MIZIGO.
MOHAMED DEWJI.
TRY AGAIN.
MANGUNGO.
BODI YA WAKURUGENZI.
 
Chama akae nje alafu timu ifungwe! huyo kocha atapitia wapi?
 
Mkuu samahani sana, umesema uongo!

Unasema Thimba hajachukua kikombe chochote? Si kweli!

Thimba ana kombe la Mapinduzi moja, kombe la kuifunga Yanga la pili na makombe mawili ya kufa kiume moja dhidi ya Wydad na jingine dhidi ya Dube wa Azam Leo!
 
Bridger
 
Magoli alofungwa kipa wa Simba, angekuwa Yanga amecheza na timu nyingine angeshinda yale magoli, Simba wangesema huyo kipa kapewa bahasha.
Huyu kipa nilimtoa kwenye sehemu yake baada ya mechi ya Wydad
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…