FT: Nusu Fainali ASFC Cup: Azam FC 2-1 Simba SC : 07-05-2023, Uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara

FT: Nusu Fainali ASFC Cup: Azam FC 2-1 Simba SC : 07-05-2023, Uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara

Uto wanaomba isitokee wakutane na timu iliyofanya maajabu Casablanca
 
Kibu ni mzuri lakini ...isiwe ndio investment
Hana connection ya nguvu na akili
 
Uwanja mbovu unaharibu ladha ya mechi. TFF walijua siku zote wanapeleka mechi huko ila wanakuja kutupa uwanja kama huu.
 
Azaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaam

[emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787]
 
Back
Top Bottom