Hii timu iitwe tu bebwa bebwa fc,bila penalty hakuna ushindi
Kivipi?Alichokifanya huyo beki ingekuwa inacheza Yanga basi tungesikia maneno kuwa kahongwa na GSM.
mlizoea bikra zenu zinatolewa kwenye mashamba ya mpunga kule mbaraliLini mtaacha kulia lia? Mkishinda mnalia na mkigongwa mnalia
Sasa au ndio mmefikia mshindo hamjaupata siku nyingi?
Mwanangu umetisha sanaaa,