hguy platnumz
Member
- Feb 23, 2020
- 80
- 51
Sio mimi ni wachezaji wa Pamba kama nilivyoandikaSio kweli kulikuwa na Ngoma (kama sikosei) aliyekuwa mbele ya Mpole
Naam!Mnao doubt penati, wachambuzi wanakuambia refa alifanya huruma maana yule mchezaji aliyemchezea faulo Ateba alistahili kupewa kadi nyekundu
View attachment 3158852
Hii ni clear Penalty na kadi juuMnao doubt penati, wachambuzi wanakuambia refa alifanya huruma maana yule mchezaji aliyemchezea faulo Ateba alistahili kupewa kadi nyekundu
View attachment 3158852
Utani wa ngumi huu🙌🏿🙌🏿🏃🏿🏃🏿Bado wanapumua tuongeze la pili View attachment 3158811
Huyu Mchezaji wa Pamba FC kauza mechi amefanya vile maksudi ili awape penati Makolo FC huyu ni wa kufukuza kwenye timu.Ile sio bahati mbaya ni maksudi kabisa