Na wewe kashiriki huo wamichongo tumia akili zako vzr usitumie makamasi kufikiria mpuuzi wewe. Zipo timu zinafanya vibaya ligi za ndani.ila zimebeba vikombe vya champion league mfano Chelsea Fc 2012 walikua ovyo tena wakamaliza ligi nje ya top 4.
Narudia kukuambia tumia akili na sio makamasi .
Na wewe umekubali?Wpte tuseme eimen
Yap lakini nitabadili msimamo kulinganaNa wewe umekubali?
Simba maneno mengi mkuu!Ila inasikitisha sana yaani Ligi inaanza mpaka mechi ya 19 hujui ladha ya kuongoza ligi.
Halafu unajiita Timu kubwa. 🤣
Simba inawachezaji quality waliozoea kucheza kwny viwanja bora, usitegemee kuona simba akipata matokeo viwanja vya ugenini sababu sio rafk kwa wachezaji ila cha ajabu wasiojua mpira wanamlaumu kochaLeo tarehe 10 April 2022 majira ya saa 16:00, Mnyama hatali Sana , mnyama mwenye njaa ,, mfalme wa nyika , Club ya 12 kwa ubora Africa nzima,, club ya 12 miongoni mwa vilabu vya soka Africa nzima, simba sports club atakuwa na mazoezi ya kupasha misuri pale atapofika kumfundisha mazoezi ya viungo mpaniaji wa mechi hiyo Police Tanzania FC huko mjini Moshi Kilimanjaro!!
Sina mengi , karibu tujumuike masaa machache yajayo tuone mnyama anavyopasha msuri !
Kila la kheri Mnyama Simba!!
Kijan na njano wanaweka record Leo ya kufurushwa kwenye michuano ya shirikisho na kijitimu aka GGM
Utopolo mpambane na hali yenu
=========================================
LIGI KUU: SIMBA YAAMBULIA POINTI MOJA KWA POLISI TANZANIA
Simba imeambulia pointi moja katika mchezo wa ugenini wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Polisi Tanzania kwa matokeo kuwa 0-0 kwenye Uwanja wa Ushirika Moshi, leo Aprili 10, 2022.
Simba imefikisha pointi 41 na kujitengenezea mazingira magumu ya kutetea ubingwa wake kwa kuwa Yanga ipo kileleni ikiwa na pointi 51, hivyo kuna tofauti ya pointi 10, timu zote zikiwa na michezo 19. Polisi wapo nafasi ya nane wakiwa na pointi 24.
Baada ya mchezo huo Kocha wa Simba, Pablo Franco alisema ni ngumu kucheza mechi mbili ndani ya siku mbili, alifanya mabadiliko ya kikosi ili kukwepa wachezaji kuumia kuelekea mchezo ujao kutokana na hali ya uwanja kutokuwa nzuri
Imeanza lini hii?Simba inawachezaji quality waliozoea kucheza kwny viwanja bora, usitegemee kuona simba akipata matokeo viwanja vya ugenini sababu sio rafk kwa wachezaji ila cha ajabu wasiojua mpira wanamlaumu kocha
Swaumu ilikuwa kali mnoFt 0_0 Wa kimataifa mtaanza lawama saa ngapi?
Mchezaji gani wa Simba alietokea nchi ya Africa ambayo viwanja vyake vina quality kuliko Tanzania?Simba inawachezaji quality waliozoea kucheza kwny viwanja bora, usitegemee kuona simba akipata matokeo viwanja vya ugenini sababu sio rafk kwa wachezaji ila cha ajabu wasiojua mpira wanamlaumu kocha
Hakika Mkuu.Simba maneno mengi mkuu!
Kama Mtachukua Basi Huo Ubingwa [emoji23]Focus ya Simba ni Caf na sio huku mtaani.
Tunachukua bila wasiwasi.Kama Mtachukua Basi Huo Ubingwa [emoji23]
Huko tutolewe ili afukuzweNitamsamehe huyu muispaniola Pablo iwapo tu angalau tukifika fainali ya CAFCC
Tumemaliza rasmi safari ya ubingwa ligi kuu [emoji120][emoji120]
Sawa tusubiri maana ww tayari umeshikwa kidogoHahahah! Sahau kuhusu Hilo mtani,, Labda kichapo atakachopewa Yanga saa moja jion Leo ndio hakikwepeki!!
Simba timu kubwa,, utushike ndevu mtan ishara ya heshima
Hakuna kudharau mechi yoyote ileAnyway.. Akili & nguvu za wachezaji, kocha & viongozi ziko robo fainali CECAFA.
🤣🤣🤣🤣Ila inasikitisha sana yaani Ligi inaanza mpaka mechi ya 19 hujui ladha ya kuongoza ligi.
Halafu unajiita Timu kubwa. 🤣
Simba wamefanya upuuzi, mchezo huwa ni kufanya mazoezi, ona sasa tumewakabidhi yanga Kombe, kimasiharaHadi sasa bado naamini kuwa Simba angeshinda hii mechi kama angeanza na kikosi cha kwanza/kikosi anachokitumia CAF. Ujuaji umewaponza. Wenzao wanateseka na majeruhi, wao wanacheza fitness yao. Kama ni maandalizi ya CAF..
....si ndo mazoezi uenyewe????