FT: Police Tanzania FC 0-0 Simba Sports Club | NBC league

FT: Police Tanzania FC 0-0 Simba Sports Club | NBC league

Hizo imani zako za kiboya simba haina usoro km huo.ila uwezo wa wafungaji tu ndio ovyo na kikosi kilichopangwa ovyo. Mwalimu kaacha kuwatumia wachezaji baadhi ili.kuwa linda na majeraha kwa ajili ya mechi ijayo.
Sawa mkuu.
 
Mmekosa magoli mengi! Pablo hana kosa lolote!
 
Kwanini Pablo na sio mugalu!???
Simba haina wafungaji aisee hilo tuliweke wazi. Nafasi tatu mtu mmoja anakosazote tena ndani ya boksi ya kipa. Huyu mugalu mkataba asiongezewe haaahhh anafungaga kwa mazali
 
In
Leo tarehe 10 April 2022 majira ya saa 16:00, Mnyama hatali Sana , mnyama mwenye njaa ,, mfalme wa nyika , Club ya 12 kwa ubora Africa nzima,, club ya 12 miongoni mwa vilabu vya soka Africa nzima, simba sports club atakuwa na mazoezi ya kupasha misuri pale atapofika kumfundisha mazoezi ya viungo mpaniaji wa mechi hiyo Police Tanzania FC huko mjini Moshi Kilimanjaro!!

Sina mengi , karibu tujumuike masaa machache yajayo tuone mnyama anavyopasha msuri !

Kila la kheri Mnyama Simba!!

Kijan na njano wanaweka record Leo ya kufurushwa kwenye michuano ya shirikisho na kijitimu aka GGM

Utopolo mpambane na hali yenumekuwa ya 12 tena si tlikubaliana kuwa ni ya 6
 
PABLO

youre-fired-mean-boss (1).gif
 
Nitamsamehe huyu muispaniola Pablo iwapo tu angalau tukifika fainali ya CAFCC

Tumemaliza rasmi safari ya ubingwa ligi kuu [emoji120][emoji120]
 
Back
Top Bottom