FT: Police Tanzania FC 0-0 Simba Sports Club | NBC league

FT: Police Tanzania FC 0-0 Simba Sports Club | NBC league

Simba inawachezaji quality waliozoea kucheza kwny viwanja bora, usitegemee kuona simba akipata matokeo viwanja vya ugenini sababu sio rafk kwa wachezaji ila cha ajabu wasiojua mpira wanamlaumu kocha
Kweli mkuu hata kaitaba kiwanja kilikuwa hovyo sana
 
Leo tarehe 10 April 2022 majira ya saa 16:00, Mnyama hatali Sana , mnyama mwenye njaa ,, mfalme wa nyika , Club ya 12 kwa ubora Africa nzima,, club ya 12 miongoni mwa vilabu vya soka Africa nzima, simba sports club atakuwa na mazoezi ya kupasha misuri pale atapofika kumfundisha mazoezi ya viungo mpaniaji wa mechi hiyo Police Tanzania FC huko mjini Moshi Kilimanjaro!!

Sina mengi , karibu tujumuike masaa machache yajayo tuone mnyama anavyopasha msuri !

Kila la kheri Mnyama Simba!!

Kijan na njano wanaweka record Leo ya kufurushwa kwenye michuano ya shirikisho na kijitimu aka GGM

Utopolo mpambane na hali yenu


=========================================

LIGI KUU: SIMBA YAAMBULIA POINTI MOJA KWA POLISI TANZANIA

Simba imeambulia pointi moja katika mchezo wa ugenini wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Polisi Tanzania kwa matokeo kuwa 0-0 kwenye Uwanja wa Ushirika Moshi, leo Aprili 10, 2022.

Simba imefikisha pointi 41 na kujitengenezea mazingira magumu ya kutetea ubingwa wake kwa kuwa Yanga ipo kileleni ikiwa na pointi 51, hivyo kuna tofauti ya pointi 10, timu zote zikiwa na michezo 19. Polisi wapo nafasi ya nane wakiwa na pointi 24.

Baada ya mchezo huo Kocha wa Simba, Pablo Franco alisema ni ngumu kucheza mechi mbili ndani ya siku mbili, alifanya mabadiliko ya kikosi ili kukwepa wachezaji kuumia kuelekea mchezo ujao kutokana na hali ya uwanja kutokuwa nzuri
Simba mchumba tu, sharubu zake za nylon
 
Kama simba mech za away zinamsumbua namna hii basi ubingwa asahau.

Anamechi 6 away tano tu ndo yupo home japo hizo za yanga na azam sio za kuhesabia sana kua ni ugenini lakini bado ni ugenini tu.

Mwenzie yanga ana mechi 4 tu away alizobakiza. Nyigine 7 zote anafinyia taifa. Kwa hali hii yanga ubingwa upo mkononi ni yeye tu audondoshe.
 
Jamani kwa huyu kocha na hawa wachezaji ubingwa byebye yanga bingwa msim huu
 
Ubingwa wa Yanga msimu huu
Msimu ujao simba ifanye overhaul na iache kutoa bonus, mchezaji anatakiwa ajitume maana ndo kazi yake
 
Back
Top Bottom