Wakipekee
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 6,194
- 10,711
- Thread starter
- #21
Kweli kabisa nazani Leo angecheza winga ya kushoto tungeshinda mapemaNatamani sana kumuona Crispin Ngushi akipata muda mwingi wa kucheza. Naona kama ana kitu fulani hivi kule mbele.
Hata hivyo siyo mbaya. Kikosi kinachoanza bado ni kizuri.