FT: Ruvu Shooting 0-0 Young Africans | NBC Premier League | Lake Tanganyika Kigoma

FT: Ruvu Shooting 0-0 Young Africans | NBC Premier League | Lake Tanganyika Kigoma

Iddy Mobby na Henock ni kundi moja la WhatsApp

Jamaa wa bonde la Jangwani amewekwa mfukoni hapumui, anatembea na Kivuli chake yaani..!
 
Kipindi cha pili kocha afanye maamuzi magumu ya kumtoa Saido Ntibazonkiza na Farid Musa, halafu waingie Heritiel Makambo na Crispin Ngushi.

Kule mbele Mayele hapati Cross zilizokwenda shule. Wananchi tunataka magoli.
 
Kipindi cha pili kocha afanye maamuzi magumu ya kumtoa Saido Ntibazonkiza na Farid Musa, halafu waingie Heritiel Makambo na Crispin Ngushi.

Kule mbele Mayele hapati Cross zilizokwenda shule. Wananchi tunataka magoli.
Kabisa yaani ngoma haisomeki kabisa ikibidi aingi Djuma Shabani ili timu ipande
 
Kipindi cha pili kocha afanye maamuzi magumu ya kumtoa Saido Ntibazonkiza na Farid Musa, halafu waingie Heritiel Makambo na Crispin Ngushi.

Kule mbele Mayele hapati Cross zilizokwenda shule. Wananchi tunataka magoli.
Kaze Hawazi Hivyo Utaona Mambo Atakayofanya, Naomba Sana Tushinde Lakini Kaze Mi Simuelewi.
 
Kabisa yaani ngoma haisomeki kabisa ikibidi aingi Djuma Shabani ili timu ipande
Bora aingie na Juma Shaban, halafu Kibwana aje kushoto! Yassin Mustafa na Babu Ntibazonkiza, wamepa ujiko asio stahili Abdulahman Mussa kwa dk zote 45 za kipindi cha kwanza.

Hakuna hata shambulizi walilo fanya kupitia upande wa kushoto! Wakiendelea kufumbia haya makosa, halafu hawa wapuuzi wakatuotea nafasi moja tu! Tumekwisha.
 
Bora aingie na Juma Shaban, halafu Kibwana aje kushoto! Yassin Mustafa na Babu Ntibazonkiza, wamepa ujiko asio stahili Abdulahman Mussa kwa dk zote 45 za kipindi cha kwanza.

Hakuna hata shambulizi walilo fanya kupitia upande wa kushoto! Wakiendelea kufumbia haya makosa, halafu hawa wapuuzi wakatuotea nafasi moja tu! Tumekwisha.
Ndio mtajua mnakamia tu timu fulani ila kupigika mnapigika
 
IMG_20220504_164637.jpg
 
Back
Top Bottom