Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Shuhuli ya jana we mwenyewe si uliichekiTeh teh
Tutawaona na nyie
Mpaka wapinzani wanatamani kuwa kwenye record ya Simba wanaamua wajifunge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shuhuli ya jana we mwenyewe si uliichekiTeh teh
Tutawaona na nyie
4 bila ndio watakaaKwa hiyo ushindi wa 1-0, 2-0 Uto wanakuwa kileleni?
Mkikamiwa au kufungwa huwa kwa pamoja hamuonekani kwenye uzi
Lakini mkitangulia goli la kuongoza, wote mnaanza kuja
Huwa mnafanya kikao?
Yeah lakini katika dakika zote 45 za mwanzo hukutoa huu ushitikiano unaoutoa saiziMimi nipo nafuatilia kupitia JF, ningekuwa natazama ninge comment
Assist za chama hizo mkuu hadi ninja akaona hawezi kuiacha bila kufungaShuhuli ya jana we mwenyewe si uliicheki
Mpaka wapinzani wanatamani kuwa kwenye record ya Simba wanaamua wajifunge
Atasingizia mtandaoYeah lakini katika dakika zote 45 za mwanzo hukutoa huu ushitikiano unaoutoa saizi
Kama sio watu wa maneno why mlitaka kuandamana kwa mama?Sisi sio watu wa maneno maneno sana, maneno tumewaachia wanathimba
Alivyotoka pale kwenye dressing room wakati wa halftime, kocha akamuambia dogo hata ningekuwa mimi ile cross nisingeiachaAssist za chama hizo mkuu hadi ninja akaona hawezi kuiacha bila kufunga
Wanachungulia na kuacha hadi wafungeHivi mnaambizanaga au?
Sasa Uto wanasema wanahitaji ushindi ili wakae kileleni, hawataji magoli.4 bila ndio watakaa
Kasi ya nini"Kwa kasi hii Yanga inaelekea kuwa moja ya klabu bora kabisa afrika na dunia nzima. Sasa hivi ni afadhali ukutane na TP mazembe kuliko Yanga
Mnapiga Bomu Mochwari halafu mnajitapa mmeua [emoji15][emoji23]Shuhuli ya jana we mwenyewe si uliicheki
Mpaka wapinzani wanatamani kuwa kwenye record ya Simba wanaamua wajifunge
Cha pili huko babuuuuKasi ya nini"
Mayele anakosa magoli we unasema kasi
Ndio maana mkamsajili na Kisinda?
Yeah lakini katika dakika zote 45 za mwanzo hukutoa huu ushitikiano unaoutoa saizi
Cha piliSungura hawa