Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapema kivipi? Kwani kaokotwa from no where?Bado mapema mnooo
Hivi Mkude alikuwa anafanya nini simba miaka yote hii!! Leo amepiga sita moja ya ukweli sana.Max na Skudu ni watu haswa, huyu mkude anavyosambaza mpira ni hatari na nusu. Fredy ni beki mkatili. Ushindani wa namba Yanga ni mkubwa sana msimu ujao.
AMa kweli uchawi wa kisasa sio mpaka ushike manyanga na vibuyu. Siku hizi hadi vijana wadogo wachawi. Aseeh hii kitu mnajifunzia wapi?Vipi Skudu huko kuna lolote kafanya?
Skudu leo kacheza dakika zote hizo?
Kacheza dakika nyingi kuliko msimu mzima wa 2018-2019 aliocheza dakika 19
Anazidi kuongeza namba
Shutuma za uchawi zipo YangaAMa kweli uchawi wa kisasa sio mpaka ushike manyanga na vibuyu. Siku hizi hadi vijana wadogo wachawi. Aseeh hii kitu mnajifunzia wapi?
Wanatosha, ulitaka mechi ya kwanza wachezeje? Unafikiri ni kutupia tu kama vile timu pinzani haina beki au kipa?Mbona umejaa upepo. Kimsingi, anahitajika striker mwingine pale mbele.
max, skudu na Mkude wataisaidia sana Yanga. aziz ki na kina moloko waangalie, ndo wanapitwa hivyo.Max na Skudu ni watu haswa, huyu mkude anavyosambaza mpira ni hatari na nusu. Fredy ni beki mkatili. Ushindani wa namba Yanga ni mkubwa sana msimu ujao.
Ilete hapa tuione.List fake hii, usichukue vitu google tu, tumia akili, utachukua fake news utuwekee hapa. Simba hawezi kuwa mbele ya Yanga as from 2023, fuatilia list mpya
Sawa mamaaSawa, je unateseka na nini? Hicho kiingilio kimewekwa makusudi mapunguani wasifike uwanjani, ila watu wastaarabu wataenjoy show.
Mkuu umeanza lini kufuatilia mpira wa Africa??
Ili furaha ikamilike inabidi hii mechi mshinde hivyo acha kujifariji
Ikumbukwe baadhi ya wachezaji muhimu wa Kaizer hawapoView attachment 2696293
Kikosi B cha Kaizer kinasumbua
Hicho kikaka poa baada ya kukiumbua kikapanic,Tamasha limekwenda fresh, wale wachawi wote waliokuwa wanaiwangia Yanga chalii na yule aliyegeuza tamasha letu kama mkole wa washirikina moderator wametimiza wajibu wao kwa kumpa haki yake akirudi ajifunze adabu.
mpira siyo uadui.
Mkude hawezi kushine simba sababu Hana kiwango pale simba wachezaji wengi Wana viwango vya juu, mkude atashine yanga penye vilaza wenzakeHivi Mkude alikuwa anafanya nini simba miaka yote hii!! Leo amepiga sita moja ya ukweli sana.
Hicho kikaka poa baada ya kukiumbua kikapanic,
Pongezi kwa Moderator kwa kweli,
Mpira bila matusi inawezekana.
Hongera Wana Yanga wooooooooooooote Duniani, jana tulijua kusimamisha Dunia kama kaw