FT: Siku ya Wananchi | Uwanja wa Benjamin Mkapa, Julai 22, 2023 I Yanga 1 - 0 Keizar Chiefs

FT: Siku ya Wananchi | Uwanja wa Benjamin Mkapa, Julai 22, 2023 I Yanga 1 - 0 Keizar Chiefs

Mk

Mkude hawezi kushine simba sababu Hana kiwango pale simba wachezaji wengi Wana viwango vya juu, mkude atashine yanga penye vilaza wenzake
Akili zako tu ni za ki kingdom monera maana binadamu mwenye akili timamu hawezi ongea hizo pumba unazoongea.
Mkude amedumu simba miaka mingapi akiwa katika top pafomansi.
Viongozi wenu tu wanauheshimu mchango wake ndani ya simba sembuse wewe kalio la kajala.
 
Sijaangalia mechi ila kupitia comments za huu Uzi ni wazi Yanga Jana wamecheza kama Mboriborini Fc.
 
Tamasha limekwenda fresh, wale wachawi wote waliokuwa wanaiwangia Yanga chalii na yule aliyegeuza tamasha letu kama mkole wa washirikina moderator wametimiza wajibu wao kwa kumpa haki yake akirudi ajifunze adabu.

mpira siyo uadui.
Dr Asante kwa kutoa dozi takatifu kwa Yule msungo wa kiume.[emoji2935]
 
Mbona haumwambii Darlin kuwa week yote hii ulikuwa unafuatilia kibegi?

😂
Ukinigombanisha na huyu mdogo wangu mzuri, utanipa yule wa kwako eeh'..??😂😂
Sema yule simtaki hata bure ptuuh'..!
Khaaaaa🙄🙄🙄
Carleen dada angu ni wa kunifanyia hivo bila kuniambia
Sijapenda😒😒
Umeanza lini kutoniamini eti kamamaa kangu..??
 

Attachments

  • IMG-20230722-WA0024.jpg
    IMG-20230722-WA0024.jpg
    84.5 KB · Views: 5
😄😄

Nikikuua sidhani kama nitaweza kuimaliaza hiyo kesi maana kale kajamaa (Carleen ) kanakupenda kama nini tu, acha nivumilie tu huu uchawi wako.
Mkumbushe kabisa kuwa nampenda mpaka naogopa, kidogo upendo wangu kwake uzidi ule ninaompenda shemeji yake,
ahsante.
 
Mkumbushe kabisa kuwa nampenda mpaka naogopa, kidogo upendo wangu kwake uzidi ule ninaompenda shemeji yake,
ahsante.
🥰🥰🥰
Dada leo unatumia kinywaji gani eti?
Ntaka leo upate kinywaji, au tufanye ijumaa si eti eee?
 
Hapa zilitembea page 25 kwa siku 2.
Kule zimetembea page 55 kwa saa 24.
Kweli jamaa wabaridiiiiii!
 
Jamani mapema yote hii mshamchoka mnasema aondoke,,,!? Wenzenu wamekaa nae miaka 13 huyo ndio mjue wamepotia mengi kuishi nae muda wote huo,,nyie mwezi mmoja tu mshaanza maneno.[emoji23]
FB_IMG_1691374574032.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani mapema yote hii mshamchoka mnasema aondoke,,,!? Wenzenu wamekaa nae miaka 13 huyo ndio mjue wamepotia mengi kuishi nae muda wote huo,,nyie mwezi mmoja tu mshaanza maneno.[emoji23]View attachment 2710571

Sent using Jamii Forums mobile app
Mshahana sijui kwanini timu za Kariakoo sinakufanya ujishushie uwezo wako wa kufikiria wakati asilimia kubwa ya watu wanakuheshimu.

Kwani nani kakuambia kuwa maelezo lazima yahusiane na picha? Anayezungumziwa hapo ni Bangala ambaye ndiye aliyetoa hizo kauli kuwa ana asilimia 20 tu za kubakia Yanga. Na huyo Bangala ndiye aliyesajiliwa Azam fc sasa kwanini akili yako imewaza kuwa anayechokwa ni Mkude? Mkude anaonekana kwenye hapo kwenye picha kwasababu ndiye aliyechukua nafasi ya Bangala upande wa kiungo.

Simba na Yanga isikutoe katika hali ya uwezo wa kufikiria mkuu
 
Back
Top Bottom