Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Bangala.
JUMA Shaban.
MAYELE out.
Nina uhakika Mayele yupo Dar na leo ni siku yake rasmi ya Parade la kuagwa kama deal done na Pyramids.Sherehe ya watu wengine wewe inakuhusu nini?
Wenye akili timamu unawaona?
Jirani pale kwenye uwanja wa Taifa kuna tamasha kubwa la kusifu na kuabudu lililoandaliwa na TANZANIA ASSEMBLIES OF GOD (TAG). Nyomi imeishia pale!! Nani aende kuangalia "wananchi" aache tamasha zuri la kusifu na kuabudu lililokusanya waimbaji lukuki wa nyimbo za Injili?Kinachoendelea ni aibu ya mwaka..
Tunaomba tusihusishwe na kinachoendelea.
Na hiyo ni kwa sababu ya Kaizer Chiefs.Hapana Haki yao Inawaruhusu kuonesha South Africa Tuu
Jukwaa la dini lipo, huku ukileta mambo ya dini ukijibiwa majibu yanayokustahili usione watu wabaya.Jirani pale kwenye uwanja wa Taifa kuna tamasha kubwa la kusifu na kuabudu lililoandaliwa na TANZANIA ASSEMBLIES OF GOD (TAG). Nyomi imeishia pale!! Nani aende kuangalia "wananchi" aache tamasha zuri la kusifu na kuabudu lililokusanya waimbaji lukuki wa nyimbo za Injili?
Vipi ile chart ya Dr. Ni kweli?Majukwaa mnayaona lakini yalivyo meupee ? [emoji23]
Wanatembea na mawe mfukoni [emoji23]Mashabiki wa Simba moja kati ya siku tunahitaji kuwa makini basi ni leo,jamaa wana jazba sana..
Ni kweli kabisa huoni alivyo poaVipi ile chart ya Dr. Ni kweli?
Muda ni mwalim.mzuri sana tuliaa tuuuView attachment 2696074
View attachment 2696075
Uwanja bado ni mweupe ndugu msikilizaji. Tuendelee kusubiri, tuwe na subira
Hapa hapa JF, itakuijia mechi ya kirafiki kati ya Yanga na Kaizer Chiefs mishale ya saa moja usiku.
Hakuna kukimbia
Mkuu huogopi kutukanwa?Majukwaa mnayaona lakini yalivyo meupee ? [emoji23]
Naomba nisihusishwe na mdororo unaoendelea
Wamejaa nyomi 🤣🤣🤣Majukwaa mnayaona lakini yalivyo meupee ? [emoji23]