Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo mnavyo danganywa hivyo![]()
Ili furaha ikamilike inabidi hii mechi mshinde hivyo acha kujifariji
Target yetu sio kushinda friend match ,Target yetu ni makombe.Ili furaha ikamilike inabidi hii mechi mshinde hivyo acha kujifariji
Kwani Kuna kitu kinagombaniwa?Ili furaha ikamilike inabidi hii mechi mshinde hivyo acha kujifariji
Sio kwa yanga hii ninayoiona hapa [emoji23][emoji23]Target yetu sio kushinda friend match ,Target yetu ni makombe.
SanaaaKikosi B cha Kaizer kinasumbua
Huo mtizamo wako hukatazwi ila sie target yetu makombe.Sio kwa yanga hii ninayoiona hapa [emoji23][emoji23]
Hamna mwana utopolo anayetaka kufungwa hii gameKwani Kuna kitu kinagombaniwa?
Labda ya Uji [emoji23]Huo mtizamo wako hukatazwi ila sie target yetu makombe.
Tutakutana tuu ndio utajua ya uji au ya maji.Labda ya Uji [emoji23]
Masimba hayaeleweki,yanga ya msimu uliopita uliikubali lini? Nyie ndo mlikuwa mnasema humu Yanga ushindi wa Yanga ni WA bahasha. Leo unatuambia Yanga ya msimu ujao mbovu. Haya tuambie kuhusu Simba ya msimu ijayo itakuwaje?Uongo dhambi yanga ya msimu ujao mbovu
GoaaaaalUongo dhambi yanga ya msimu ujao mbovu
Ndo mnavyo danganywa hivyo [emoji23]
Na hakuna kolo anayetaka Yanga ishinde hii gameHamna mwana utopolo anayetaka kufungwa hii game
Aibu naona Mimi,[emoji17]Na leo una hamu ya kuzibuliwa mtaro? taarifa zako tunazo, hii ndio JF