Carleen
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 7,982
- 27,272
🤭Nyie 💛💚😍 atakuwa shemeji yenu huyu...View attachment 2696354
Nilitaka niseme kitu ila nahofia Mac Alpho akiona nitajitetea nini..!!
Maombi yangu yana wewe Miss Bantu..!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤭Nyie 💛💚😍 atakuwa shemeji yenu huyu...View attachment 2696354
Hao ni binadamu ndugu sio mashine, na ujue mpinzani naye anadhibiti mianya vilevile. Mnadai mno matokeo wakati ni mechi ya kwanza ya kujaribu wachezaji na mbinu. Kuweni na subira.Bado anahitajika clinical finisher
Mtu wa nafasi 3,goal moja
Natumai viongozi wanatafuta
Simu yangu ina break image.Nyie [emoji169][emoji172][emoji7] atakuwa shemeji yenu huyu...View attachment 2696354
Nimefurahi tyu...Yanga wana pisi kali sanaYes mkuu vipi kwani[emoji2960]
Mazoea hayana adabu.Msisahau kwamba Miaka yote ambayo Yanga imeshinda Mechi ya Yanga Day ilikosa Ubingwa!
Simba Bingwa 2023/24 mark my words.
Dada zetu wote wameolewa, itabidi abaki single tu 😂Nyie 💛💚😍 atakuwa shemeji yenu huyu...View attachment 2696354
Mzinze atumike mechi za ligi tu Tena siyo zile mechi tafu, kwenye mechi za CAF atusubili kwanza.Kwa kweli Mzinze ni Yule Yule
Kama bro Yikpe
Naona hivyo pia.Mzinze atumike mechi za ligi tu Tena siyo zile mechi tafu, kwenye mechi za CAF atusubili kwanza.
Hamkosagi maneno!Msisahau kwamba Miaka yote ambayo Yanga imeshinda Mechi ya Yanga Day ilikosa Ubingwa!
Simba Bingwa 2023/24 mark my words.
Ubingwa na yanga day wapi na wapi!? Tabu iko palepale tukutane TangaMsisahau kwamba Miaka yote ambayo Yanga imeshinda Mechi ya Yanga Day ilikosa Ubingwa!
Simba Bingwa 2023/24 mark my words.
Yaani sana tu hasa humu jfNimefurahi tyu...Yanga wana pisi kali sana
Ukimkubali wewe inatoshaWabongo bwana, yaani kucheza leo tu umeshamsema kuwa anategemea jukwaa. Unashindwa hata kukubali uwezo wake wa kufit kikosini kwa mechi ya kwanza tu?
MME-LOWA!FT Yanga 1-0 Kaizer B
Sijadai matokeo mkuuHao ni binadamu ndugu sio mashine, na ujue mpinzani naye anadhibiti mianya vilevile. Mnadai mno matokeo wakati ni mechi ya kwanza ya kujaribu wachezaji na mbinu. Kuweni na subira.
Ni viwango mkuu, Yanga ni wana fainali wa CAF usisahau hilo.Mbona kama Yanga inawachezea nusu Uwanja?
Kazi ya Kaizer Chief inakuwa ni kuzuia Tu