FT: Siku ya Wananchi | Uwanja wa Benjamin Mkapa, Julai 22, 2023 I Yanga 1 - 0 Keizar Chiefs

FT: Siku ya Wananchi | Uwanja wa Benjamin Mkapa, Julai 22, 2023 I Yanga 1 - 0 Keizar Chiefs

Jamani mapema yote hii mshamchoka mnasema aondoke,,,!? Wenzenu wamekaa nae miaka 13 huyo ndio mjue wamepotia mengi kuishi nae muda wote huo,,nyie mwezi mmoja tu mshaanza maneno.[emoji23]View attachment 2710571

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hujaelewa kitu kidogo kama hiki Sasa Mkataba wa DP si Ndio tumepigwa?

Hapo ni Bangala out, Mkude inn.

Msianze kumpakazia kijana wa watu, yeye anasambaza boli tu hana mbambambaa.
 
Back
Top Bottom