Panctuality
JF-Expert Member
- Jun 11, 2019
- 775
- 1,150
Kwenye mashindano zitolewe I don't like spinning nimesikia watu wamekufa kwa ajali wakiwa wanaenda DSMIhefu ibaki?
ππππAiseee we MadameKwani kubakana ni siri?
hapana mkuuUmepata Link kiongozi?
AahaaaSimbakesho mvaae jezi zenu za Mamelod msione Aibuπ.
Washamaliza game hao ndio maana wanawaacha mruke ruke. Game hii sijajua approach ya Benchika ilikuwa ni ipi? Kwanini hakuna "Natural striker" kwenye hii game.Umakini unahitajika hii mechi ni yetu kabisa
Yanakuja mkuuWatu hawajafuata mashambulizi uwanjani, wamefuata Magoli tena ya Ushindi
Umeongea sahihi halafu aliyekuwa kiungo mkabaji mzito kivhiziHapa toa Sarr weka Onana apush,potelea pote.
Narudia Inonga ana ujuaji na masifa sana ndo maana goli likapatikana japo Hussein alijisahau akaacha mtu peke yake
Ata wasiporuhusu tiyali Aly ahly amepata faida ya goli la ugenini ni muhimu sana kwao kwenye mechi ya marudiano, mechi hizi uwa zinachezwa kwa akili kuvuka hatua inayofataSimba ikiruhusu tu goli lingine, hata wakishinda, Shughuli yao itakuwa imeishia hapa
Sidhaniiiiisecond half muarabu anakufa
Nashangaa huyo anayesema najiuza kisirisiri.ππππAiseee we Madame