FT: Simba 0-1 Al Ahly | CAF CL Robo Fainali | Benjamin Mkapa Stadium | 29/03/2024

Simba hawakucheza kwa potential yao kamili. Al-Ahly hawakuwa na timu nzuri,m kwani hata bao walilopata lilikuwa la kubabaisha tu. Forward line ya Simba haikuwa katika ubora wowote na ilipoteza nafasi nyingi sana, iwapo Benchika atafanya la maana kuboresha foward line yake, Al-Ahly wanafungika nyumbani kwake. Siyo lazima Saido acheze kwani hakuna uhakika kuwa kutakuwapo na penalty kick ambazo yeye kachanjia.
 
wakati huo Al Ahly atarudia kucheza hivi? Akiwa kwake? Akiwa amerejesha majeruhi kikosini? Eti
 
Tutajua lini mpira sisi jamani.

Sent from my SM-G928I using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…